Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,455
Wiki iliyopita nilifika hapo mjini nikitokea kwetu huku Namtumbo,
miaka kadhaa nilikuwa sijafika hapo mjini, ukweli vingi vimebadilika sana ,barabara majengo ,marefu hata usafi baaadhi ya maeneo ,lakini joto mji huo naona limezidi sana
lakini kuna hili moja limenishangaza sana hapo mjini,niliona sehemu zimepambwa na watu wanaingia na kutoka ,wanawake wanaume nikataka kujua kuna jambo gani hasa linawalowashugulisha vijana wenzangu?Dah kumbe vijana wanaingia kucheza kamari wao wanaita kubet,jamani vijana wameathirika mno na kitu hiki ,
kwa wiki moja niliyokaa hapo mjini nimegundua sehemu nyingi sana mjini hapo kumefunguliwa kamari za namna hiyo na vijana wameathirika sana na hii kitu wengi wao wamegeuza hizo ndio ajira zao za kila siku,
niwaombe vijana wenzangu hiyo sio ajira rasmi na nimchezo mbaya kabisa ambao una faida chache na hasara nyingi mno,
hebu kama maisha magumu hapo mjini njoo hata huku kuna mashamba ya korosho mengi tu tutawapa mlime .
nawasilisha bandugu
miaka kadhaa nilikuwa sijafika hapo mjini, ukweli vingi vimebadilika sana ,barabara majengo ,marefu hata usafi baaadhi ya maeneo ,lakini joto mji huo naona limezidi sana
lakini kuna hili moja limenishangaza sana hapo mjini,niliona sehemu zimepambwa na watu wanaingia na kutoka ,wanawake wanaume nikataka kujua kuna jambo gani hasa linawalowashugulisha vijana wenzangu?Dah kumbe vijana wanaingia kucheza kamari wao wanaita kubet,jamani vijana wameathirika mno na kitu hiki ,
kwa wiki moja niliyokaa hapo mjini nimegundua sehemu nyingi sana mjini hapo kumefunguliwa kamari za namna hiyo na vijana wameathirika sana na hii kitu wengi wao wamegeuza hizo ndio ajira zao za kila siku,
niwaombe vijana wenzangu hiyo sio ajira rasmi na nimchezo mbaya kabisa ambao una faida chache na hasara nyingi mno,
hebu kama maisha magumu hapo mjini njoo hata huku kuna mashamba ya korosho mengi tu tutawapa mlime .
nawasilisha bandugu