Vijana wa chadema wamejipanga kulinda kura zao kwa gharama ya damu zao kuliko kuibiwa kura hata moja siku ya jpili tar 30/6/2013 vijana wameamua kulinda kura watu wote mjitokeze bila hofu kupiga kura .chadema. Aluta continua mapambano bado yanaendelea hakuna kurudi nyuma.