Vijana wa Chadema Mwalikeni Malemo

Vijana wa Chadema Mwalikeni Malemo

Wakuu, huyo bwana J. Malema hafai. Nina imani uongozi wa CDM hauwezi kuafiki kosa kubwa na la kiufundi kwa maana ya siasa kama kumwalika Malema.
Kwanza kidiplomasia pia haifai. Chadema inatarajia kuchukua nchi 2015, na inatakiwa kujenga mazingira ya kukubalika kimataifa ikiwa ni pamoja na S/Africa.
Sasa kujaribu kumkumbatia mtu ambaye ni radical politician kama Malema kwaweza kudhoofisha uhusiano mzuri na wa manufaa huko mbeleni.
Kwa ufupi Malema is stubbon and is not an appropriate political guest for the youth wing of CDM.
 
Mkuu umekosea jina sio Molemo yule jamaa yetu ambaye uwa tunakuwa nae humu JF?
Nimekuwa nikifuatilia post zako nyingi nimegundua una tatizo la 'h', naomba niwe mwalimu wako kwa leo,
Siyo 'uwa' ni 'huwa',
Mara nyingi umekuwa ukiandika abari badala ya habari na mengine kwa mfano;
Siyo arusi ni harusi,
Siyo angaika ni hangaika,
Siyo afai ni hafai,
Siyo hamani ni amani,
Siyo alafu ni halafu, etc.

Kuna mengine yenye utata kidogo mfano 'ana' ukiandika 'hana' ni maneno mawili yenye maana mbili tofauti kabisa.
 
Anaweza kualikwa ila mtamuelewa atakachokisema????? Au tutaishia kupiga makofi tu???!!!
 
Nakubaliana huyu jamaa kwa wasiomfahamu wanaweza kufikiri ni wa maana sana . Ni hatari tena ni fisadi mkubwa huko South na huwa anatumiwa kuleta vurugu. Hamaanishi anayoyaongea kwa hiyo ni wa kuepuka sio mfano mzuri kwetu. Don't entertain him. Hata wa South wenyewe wamemstukia. Anawapelekesha walala hoi ambao hawana uelewa na kuwasababishia matatizo makubwa wakati yeye akiendelea kuishi maisha ya anasa Suncity.

msituletee wabakaji tafadhali!
 
kwa maono yangu julius malema hana tofauti na kina nape, january makamba, etc. No matter wat they try, hawawezi kuacha fikra za mbachao (gamba). Mfano kitendo cha malema kuangukia viongozi wa ANC ambao awali aliwatuhumu kwa mabaya kinaonyesha namna gani hasivyo na msimamo thabiti, the same goes kwa january makamba kumpinga zitto ktk approach ya uwajibikaji mawaziri. So kifupi sidhani kumualika j.malema kutakuwa na tija Tz.
 
nani anaongelea uchadema hapa hapa ni ukombozi,tunahitaji kodi ya mishahara ya wafanyakazi ipunguzwe,tunahitaji wanafunzi wapewe mikopo,tunahitaji wakulima wapewe ruzuku kwa vitendo na si kwa maneno,tunahitaji serekali itakayoweza kudhibiti mfumuko wa bei na si uchadema wala ccm hapa.kama CCM imeshindwa lazima itoke iruhusu wnaoweza kudhibti panya wanaokula makusanyo ya tra.kama nimekukera pote3zea.
 
nani anaongelea uchadema hapa hapa ni ukombozi,tunahitaji kodi ya mishahara ya wafanyakazi ipunguzwe,tunahitaji wanafunzi wapewe mikopo,tunahitaji wakulima wapewe ruzuku kwa vitendo na si kwa maneno,tunahitaji serekali itakayoweza kudhibiti mfumuko wa bei na si uchadema wala ccm hapa.kama CCM imeshindwa lazima itoke iruhusu wnaoweza kudhibti panya wanaokula makusanyo ya tra.kama nimekukera pote3zea.
 
Nimekuwa nikifuatilia post zako nyingi nimegundua una tatizo la 'h', naomba niwe mwalimu wako kwa leo,
Siyo 'uwa' ni 'huwa',
Mara nyingi umekuwa ukiandika abari badala ya habari na mengine kwa mfano;
Siyo arusi ni harusi,
Siyo angaika ni hangaika,
Siyo afai ni hafai,
Siyo hamani ni amani,
Siyo alafu ni halafu, etc.

Kuna mengine yenye utata kidogo mfano 'ana' ukiandika 'hana' ni maneno mawili yenye maana mbili tofauti kabisa.

Ebu weka hayo maneno yangu niliyoandika arusi, abari, hamani, humu Jamvini hakuna sehemu yoyote mie nimeandika hivyo ukiweka mie najitoa JF kuanzia leo zaidi ya hapo wewe ni mtu wa mipasho tu...neno siyo na sio kwangu mie sio ndio sahihi...kuna members wengi tu humu JF wanatumia neno sio badala ya siyo kama AshaDii na Ribosome.
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa nikifuatilia post zako nyingi nimegundua una tatizo la 'h', naomba niwe mwalimu wako kwa leo,
Siyo 'uwa' ni 'huwa',
Mara nyingi umekuwa ukiandika abari badala ya habari na mengine kwa mfano;
Siyo arusi ni harusi,
Siyo angaika ni hangaika,
Siyo afai ni hafai,
Siyo hamani ni amani,
Siyo alafu ni halafu, etc.

Kuna mengine yenye utata kidogo mfano 'ana' ukiandika 'hana' ni maneno mawili yenye maana mbili tofauti kabisa.

Mkuu, naomba na mimi nichangie kidogo kuhusu hili tatizo la lugha humu katika JF. Ni wengi sana mahala pa "a" wanaweka "h" na kinyume chake.
Aidha pia mahala pa "r" wanaweka "l" na kinyume chake pia.
Lakini hata wewe mkuu, (najua wengi watabisha, lakini wakifanya hivyo nitawafafanulia japo siyo mwalimu wa kiswahili)
hakuna neno harusi kama lilivyozoeleka, bali neno sahihi ni arusi. Kama ilivyo kwa saini (signature) na sahihi (correct)??!!
Nitaishia hapa kwa kuwa huu ni ukurasa wa siasa na siyo lugha.
 
Mkuu, naomba na mimi nichangie kidogo kuhusu hili tatizo la lugha humu katika JF. Ni wengi sana mahala pa "a" wanaweka "h" na kinyume chake.
Aidha pia mahala pa "r" wanaweka "l" na kinyume chake pia.
Lakini hata wewe mkuu, (najua wengi watabisha, lakini wakifanya hivyo nitawafafanulia japo siyo mwalimu wa kiswahili)
hakuna neno harusi kama lilivyozoeleka, bali neno sahihi ni arusi. Kama ilivyo kwa saini (signature) na sahihi (correct)??!!
Nitaishia hapa kwa kuwa huu ni ukurasa wa siasa na siyo lugha.

I see!! Duu... Kwa hiyo huyo mwalimu kumbe nae hana kitu JF bana.
 
Mkuu, naomba na mimi nichangie kidogo kuhusu hili tatizo la lugha humu katika JF. Ni wengi sana mahala pa "a" wanaweka "h" na kinyume chake.
Aidha pia mahala pa "r" wanaweka "l" na kinyume chake pia.
Lakini hata wewe mkuu, (najua wengi watabisha, lakini wakifanya hivyo nitawafafanulia japo siyo mwalimu wa kiswahili)
hakuna neno harusi kama lilivyozoeleka, bali neno sahihi ni arusi. Kama ilivyo kwa saini (signature) na sahihi (correct)??!!
Nitaishia hapa kwa kuwa huu ni ukurasa wa siasa na siyo lugha.
Mkuu hakuna kitu kama 'arusi' hiyo ni misemo ya kina mama, huwezi kusema arusi yangu ilifana ni harusi yangu ilifana, halafu sidhani kama kuna neno 'saini' hili wamechukua toka neno la kiingereza 'sign'.
 
I see!! Duu... Kwa hiyo huyo mwalimu kumbe nae hana kitu JF bana.

Achana nae huyo magwanda kakosa hoja anajaribu kukuvaa binafsi.

'oɐɥ ɐɾoɥ ɐnpuıdɐnpuıdnʞ ǝozǝɯɐʍ
 
Ebu weka hayo maneno yangu niliyoandika arusi, abari, hamani, humu Jamvini hakuna sehemu yoyote mie nimeandika hivyo ukiweka mie najitoa JF kuanzia leo zaidi ya hapo wewe ni mtu wa mipasho tu...neno siyo na sio kwangu mie sio ndio sahihi...kuna members wengi tu humu JF wanatumia neno sio badala ya siyo kama AshaDii na Ribosome.
Wewe jitetee mwenyewe usiseme kwa vile fulani huwa anakosea basi na wewe lazima ukosee. Kama umekubali kukosea neno 'huwa' kwa kuandika 'uwa' hayo mengine ni mifano yake, neno 'sio' siyo kiswahili sanifu ila watu wamezoea kulitumia.
 
Malemo huyuhuyu wa JF yule ambaye hakosekani kwenye thread za kuchochea udini au Malemo gani?
 
I see!! Duu... Kwa hiyo huyo mwalimu kumbe nae hana kitu JF bana.
Nibeze lakini sasa angalau naona umeanza kuelewa somo, kabla ulikuwa unaandika 'ana' badala ya 'hana', bado kidogo hapo kwenye 'nae', good but keep on trying.
 
Our system has detected that Molemo, ibange and Nelson Mlokozi are comming from the same Ip as well as mac

addresses.

System generated report: on 01 may 2012 at 3:05 PM
 
Back
Top Bottom