Napendekeza Heche awasiliane na Malemo aje atutembelee na kuhutubia au kuwe na mdahalo kuhusu nafasi ya vijana katika kupambana na ubeberu na unyonyaji na vikwazo vijana wazalendo wanavyo face. Sisi kama vijana twaweza kuchanga peas kufanikisha hili. Naamini Malemo kijana mzalendo na mwenye ushawishi mkubwa atatupa changamoto kubwa. Namaanisha Julius Malema