sandy candy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 490
- 89
Kikwete ana muogopa mno mh. TUNDU LISSU
Siasa zishawafanya vijana wa kitanzania ambao ndo nguvu kazi kuwa ni watumwa wa wanasiasa, angalia maskin kama vijana kama hawa wanatia hadi huruma, ujinga wa hali juu
Mhe.Tundu Lissu
Kuna vijana watatu kutoka mkoani Geita,
wanakuja kwa mguu kuja kuonana na rais
Kikwete ikulu, ili kueleza kero zao kuhusu nchi
yao, je? watakaribishwa ikulu? au wataitwa
wahuni na wavuta bangi? nakumbuka rais
amewahi kuwakaribisha watu wengi ikulu kama
Ray c, Diamond, mzee yusufu, n.k, ambao ni
waimbaji majukwaani, wala sio watetezi wa
wanyonge, wengine ni wala madawa ya kulevya
tu, mh. Rais wanakuja hao vijana watatu kutoka
Geita nakushauri uwapokee, otherwise
utaonekana una upendeleo kwa kuwakaribisha
watu unaowataka wakati ikulu sio mali yako.
mhe.tundu lissu
kuna vijana watatu kutoka mkoani geita,
wanakuja kwa mguu kuja kuonana na rais
kikwete ikulu, ili kueleza kero zao kuhusu nchi
yao, je? Watakaribishwa ikulu? Au wataitwa
wahuni na wavuta bangi? Nakumbuka rais
amewahi kuwakaribisha watu wengi ikulu kama
ray c, diamond, mzee yusufu, n.k, ambao ni
waimbaji majukwaani, wala sio watetezi wa
wanyonge, wengine ni wala madawa ya kulevya
tu, mh. Rais wanakuja hao vijana watatu kutoka
geita nakushauri uwapokee, otherwise
utaonekana una upendeleo kwa kuwakaribisha
watu unaowataka wakati ikulu sio mali yako.
Amewahi hata kumpokea kijana aliyetokea huko huko mwanza kwaajili ya kumpongeza rais mwaka 2010 kama sikosei. Sasa asipige chenga kuonana na hao vijana
Mhe.Tundu Lissu
Kuna vijana watatu kutoka mkoani Geita,
wanakuja kwa mguu kuja kuonana na rais
Kikwete ikulu, ili kueleza kero zao kuhusu nchi
yao, je? watakaribishwa ikulu? au wataitwa
wahuni na wavuta bangi? nakumbuka rais
amewahi kuwakaribisha watu wengi ikulu kama
Ray c, Diamond, mzee yusufu, n.k, ambao ni
waimbaji majukwaani, wala sio watetezi wa
wanyonge, wengine ni wala madawa ya kulevya
tu, mh. Rais wanakuja hao vijana watatu kutoka
Geita nakushauri uwapokee, otherwise
utaonekana una upendeleo kwa kuwakaribisha
watu unaowataka wakati ikulu sio mali yako.
Mhe.Tundu Lissu
Kuna vijana watatu kutoka mkoani Geita,
wanakuja kwa mguu kuja kuonana na rais
Kikwete ikulu, ili kueleza kero zao kuhusu nchi
yao, je? watakaribishwa ikulu? au wataitwa
wahuni na wavuta bangi? nakumbuka rais
amewahi kuwakaribisha watu wengi ikulu kama
Ray c, Diamond, mzee yusufu, n.k, ambao ni
waimbaji majukwaani, wala sio watetezi wa
wanyonge, wengine ni wala madawa ya kulevya
tu, mh. Rais wanakuja hao vijana watatu kutoka
Geita nakushauri uwapokee, otherwise
utaonekana una upendeleo kwa kuwakaribisha
watu unaowataka wakati ikulu sio mali yako.
Ikulu ipi hiyo Mkuu Lisu ? Ngoja utasikia kama hawajapigwa mabomu Ubungo. Ikulu ni kwa wasanii na wabeba ugali.
mkuu id yako imenifanya nicheke peke yangu, ivi ulifikiria nini?
amekurupuka kwa kweli, kwa nini asingesubili kwanza
Faiza foxy hebu tulia dawa ikuingie vizuri acha kuwewesekaAmewahi hata kumpokea kijana aliyetokea huko huko mwanza kwaajili ya kumpongeza rais mwaka 2010 kama sikosei. Sasa asipige chenga kuonana na hao vijana
kwa kikao cha kamati kuu ya ccm sio kikao cha siasa?Kwanini hawa wasiwe wahuni kama alivyo mhuni lisu wamebeba mabendelea yao kwani ikulu ni uwanja wa mikutano ya siasa.
Kwanini hawa wasiwe wahuni kama alivyo mhuni lisu wamebeba mabendelea yao kwani ikulu ni uwanja wa mikutano ya siasa.
haa haa, ikulu ni kwa ajili ya wote mkuu. Sio ya ccm, cuf wala chadema. Ukishakuwa ikulu wewe ni wa watanzania wote bila kujali itikadi zao.Hao vijana bange zinawasumbua , watakuwa red brigade wamebeba mabomu. Wakisogea tu karibu na geti la ikulu walipuliwe.
mkuu kwa ninavyojua, hao vijana kwanza wakifika dar watapokelewa makao makuu ya cdm pale mtaa wa ufipa, halafu watapelekwa na mh. Mbowe ikulu kumuona mh. Rais. Kama sijakosea ni hivo.Hao vijana wa CHADEMA wana njaa....kwa mawazo yangu wangeenda makao makuu ya CHADEMA huko ndiko wanaweza kusikilizwa..Wamebeba bendera ya chama..
mkuu ni wazo zuri.Watupie amba zao za mpesa,airtel money tuwarushie pesa za kujikimu njiani.wanawakilisha watanzania wengi ambao wanateseka na lindi la umaskini ndani ya nchi yao nzuri yenye kila aina ya rasilimali zilizoshindwa kutumiwa vyema kutokana serikali iliyowatelekeza
kwani yule kijana wa ccm aliyetembea toka shinyanga kwa baiskeli ilikuwaje?hawa wanapaswa kupokelewa ufipa na mbowe au ukawa.... Mana ni wafuasi wa chadema wanafadhiliwa na chadema .. Na huwa kuna gari usiku linawabeba sehemu moja kwenda nyingine..alafu wanakuja sema wanatembea kwa mguu nyambafu waongo ninyi... Wanapita njia gani au wanapita usiku?.. Mana wakija ibuka wako mjini .