kinganola
Senior Member
- Aug 16, 2011
- 117
- 30
katika hali isiyokuwa ya kawaida,vijana wa ccm wameteka magari ya madiwani wa CDM na kublock msafara wao na kuwalazimisha wang'oe picha za mgombea Joshua Nassari. Kwa bahati habari zikaifikia ilipo kambi kuu ya CDM maeneo ya Leganga na vijana kuondoka na Magari kama sita kwenda kuwakomboa madiwani.Zoezi limefanikiwa,gari moja ya wana CCM imefukuziwa na VX moja ya mwana CDM na wakaamua kukimbilia kituo cha polisi Usa.