makoko jumanne
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 584
- 164
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.