afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
- Thread starter
- #121
ase wwadau niwatonye ...........historia inaonyesha waliozindua walikuwa watumwa waukutu wakisha chapwa fimbo hivo walivaa milegezo kuvipa vidonda hewa ..kina 2 pac walivaa ishara ya kutosahau walikotoka hata hivo wajanja waliacha mashoga walipoiga
kama usemayo ni kweli
basi kazi ipo..
lakini kila kitu siku hizi ni fashion ..
neno "Nigger" lilikuwa linatumiwa kipendi kile kwa watumwa...
lakini sasa mmmhh sikiliza rap music...