ZEE BABA
Senior Member
- Jan 19, 2011
- 169
- 59
Nawaomba watanzania wenzangu hasa vijana ,tutafute kauli mbiu ya kutupeleka 2015 .Tujaribu kuchunguza matatizo ya nchi yetu kwa ujumla ili tutafute suluhisho la kudumu,binafsi nafikilia kwanza tufikilie namna ya kuhamasishana ili kwanza watu wengi wajiandikishe pili watu wengi wakapige kura.KURA inaumuhimu mkubwa sana katika kuleta mabadiliko .Ndugu zangu hii serikali tusidanganyane na huu mfumo wa hii nchi tutaishia kulaumu tu,la muhimu tupige kura na tuzilinde kura zetu ,tutoe adhabu kali kwa yeyote atakaye gombea chochote kupitia MAGAMBA na adhabu hii ni kuwanyima kura.
2015 si mbali tutafute kauli mbiu za kuhamasishana ili tujetufanye maamuzi ya busara.
2015 si mbali tutafute kauli mbiu za kuhamasishana ili tujetufanye maamuzi ya busara.