Jing chu
JF-Expert Member
- May 9, 2019
- 385
- 592
Wakuu habari za weekend!
Moja kwa moja kwenye mada, nimekuwa nikisotea mke wa kuoa muda mrefu sana hata humu nilishawahi kutafuta japo sikupata nimekuja kumpata mtaani kwangu.
Huyu binti ananipenda sana na mimi nampenda, akasema nitume mtu kwao nikatuma mshenga, wakati huo kila mtu alikuwa ana getto lake, baada ya mshenga kunipa majibu nikamwambia nimepangiwa mahari 3.6 millions, kiukweli wakati namwambia sura na akili yangu ilikuwa mbali sana na uzuri anafahamu kipato changu licha ya kuwa ni mwajiriwa lakini hakitoshi.
Niliona anaingiwa huruma akafikia kuniambia anatamani tuanze kuishi, nikaona sio issue akahamia kwangu hadi sasa. Ndg zake ameshakuja home, ila mzee wake kafichwa hadi sasa wanasubili nikatoe mahari na mimi mambo bado.
Kila nikijipanga mipango inapanguka, sio siri hicho kiasi kinanisumbua akili licha ya kuwa nimeambiwa mahari haimalizwi !
Wadau na wajuvi wa mambo haya naomba uzoefu wenu nifanye hatua gani kunusuru mahusiano yangu?
Moja kwa moja kwenye mada, nimekuwa nikisotea mke wa kuoa muda mrefu sana hata humu nilishawahi kutafuta japo sikupata nimekuja kumpata mtaani kwangu.
Huyu binti ananipenda sana na mimi nampenda, akasema nitume mtu kwao nikatuma mshenga, wakati huo kila mtu alikuwa ana getto lake, baada ya mshenga kunipa majibu nikamwambia nimepangiwa mahari 3.6 millions, kiukweli wakati namwambia sura na akili yangu ilikuwa mbali sana na uzuri anafahamu kipato changu licha ya kuwa ni mwajiriwa lakini hakitoshi.
Niliona anaingiwa huruma akafikia kuniambia anatamani tuanze kuishi, nikaona sio issue akahamia kwangu hadi sasa. Ndg zake ameshakuja home, ila mzee wake kafichwa hadi sasa wanasubili nikatoe mahari na mimi mambo bado.
Kila nikijipanga mipango inapanguka, sio siri hicho kiasi kinanisumbua akili licha ya kuwa nimeambiwa mahari haimalizwi !
Wadau na wajuvi wa mambo haya naomba uzoefu wenu nifanye hatua gani kunusuru mahusiano yangu?