Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,200
- 2,030
Hujatutendea haki especially me,Ninampango wa kuanzisha green house ila nipo kwenye stages of collecting data ambazo zitanipa a way ya ku implement wazo langu.Ulivyosema hii ni shughuli kichaa ikabadiShukrani,
Hujatutendea haki especially me,Ninampango wa kuanzisha green house ila nipo kwenye stages of collecting data ambazo zitanipa a way ya ku implement wazo langu.Ulivyosema hii ni shughuli haina tija wala ufanisi umenifanya niwe na maswali mengi zaidi.Nakuomba unipe some details kidogo tuShukrani,