Vijana tusing'ang'anie Dar

karibu tarime tulime mazao ya kila aina tena misimu miwili kwa mwaka
 
Unachhoongea ni cha kweli, ila siwezi kukuunga mkono maana sina mpango wa kuondoka Dar japo maisha yangu ni magumu.

Kama unanionea huruma nipe ushauri nifanye nini, ila icho kitu lazima nikifanyie Dar.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…