ngilenengo1
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,275
- 605
Ninayo mahindi mabi
Kama vijana tupo serious kuna mambo kadhaa tunaweza kufanya
1. Kufanya mobilization.Tuanzishe forum tukutane tuunde kundi tujisajili tukachukue mikopo halmashauri.Maneno bila vitendo ni sawa na bure.
2.Tutafute maeneo yenye rutuba tufanye KILIMO chenye tija kwenye kilimo serikali imeondoa tozo SUMBUFU na watu wanapiga mpunga kupitia KILIMO tuwe serious.kama kuna mtu aliye serious na hii ishu ajitokeze.Kukaa kulaumu mtandaoni sio solution.
3.Tunaweza hata humuhumu kuanzisha forums kwa ajili ya kupeana mikakati ya kupiga biashara.Kukaa kulaumu serikali tutalaumu hadi kuzeeka.
Kama upo serious muda ni huu kama unataka kuendelea kuwa mlalamikaji JF basi utabaki kila siku kulaumu serikali,[/QUO
Ninayo mahindi mabichi vi-ekari vitatu nataka kuyauza yakiwa mabichi, hakuna mnunuzi anayeeleweka. Shida sana hii