Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,801
- 71,223
Hakuna umeme, Ugumu wa maisha, vijana hawana mategemeo ya future yao, Ubadhilifu na wizi serikalini na mashirika ya umma, na pamoja na yote hakuna kabisa kabisa ubunifu katika kuondoa mikwamo hiyo lakini ndio kwanza kelele za "mama anaupiga mwingi apewe mitano tena".
Katika hali kama hii, hao wanaopita huku na kule tena kabla ya wakati kumpigia kampeni ya uchaguzi 2025 UJASIRI huo wanautoa wapi ndani ya aibu kubwa namna hii katika utawala?
Tokea uhuru nadhani kila awamu ilikuwa na matatizo yake lakini sio siri hii imekuwa ya hovyo sana na haya madeni yanavyo ongezeka kauli ya Ndugai itakumbukwa siku moja.
Katika hali kama hii, hao wanaopita huku na kule tena kabla ya wakati kumpigia kampeni ya uchaguzi 2025 UJASIRI huo wanautoa wapi ndani ya aibu kubwa namna hii katika utawala?
Tokea uhuru nadhani kila awamu ilikuwa na matatizo yake lakini sio siri hii imekuwa ya hovyo sana na haya madeni yanavyo ongezeka kauli ya Ndugai itakumbukwa siku moja.