Vijana tuamke na kumsupport Rais wetu

Vijana tuamke na kumsupport Rais wetu

Labda misikule mnaowatoaga kafara, yeye Na akaze tu kwnza vikimuendea hovyo ndio furaha yetu,
Kweli nyie VILAZA wa kutupwa!
Mpaka rais vimuendee hovyo
Wewe kapuku chawa zilisha kumaliza damu hehehe
 
Kweli nyie VILAZA wa kutupwa!
Mpaka rais vimuendee hovyo
Wewe kapuku chawa zilisha kumaliza damu hehehe
Kenyata kazomewa mjengoni bado bosi wako, kule waliingia Na filimbi huku wataingia Na ngoma kabisa, wapuuzi nyie
 
Unaonekana dhahiri ni kiwavi.... Maisha na fikra zako ni fupi sana....

Umeulizwa ajira za walimu zilikuwepo kwenye budget ya mwaka huu zimeenda wapi? Maana huu ni mwaka wa fedha haujaisha!! Unaleta hadithi za kujipanga!! Na wahitimu wa mwaka mpya wa fedha unaoanza July wataajiriwa lini?

Mnaishi kwa mizuka na viwavi wanavyoishi kwa utepe wa mimea!!!
ni jambo la kawaida kabisa katika utendaji dunia nzima kua pale unapoassume office inachukua muda kidogo kuimplement plans za mtangulizi wako na zako pia..lets give a man some time he nearly has spent 6 months in office it is erroneous to hold him accountable of some minor mis slips at this juncture.
 
Kwahio alishindwa kuhutubia au!!
Kenya NI Kenya Tanzania NI Tanzania
Rushwa ni adui wa haki dunian inajua Na watanzania tunajua hivyo, ninyi kwa makusudi kabisa mmegeuza rushwa kuwa rafiki wa haki, mpaka sehemu tukufu mnadai Na kupokea rushwa,
 
wooh! kumbe ni wewe. Usijisikie vibaya kukosolewa mkuu..

Tuachane na Racism. Kwakua Obama ni rais wa wazungu.
Mambo yamebadilika sana
Madai ya wazungu na MCC ni sahii kwetu. Hapa wazungu wameonesha kutujali sisi tabaka tawaliwa.
Kimsingi Demokrasi aliyotufanyia wazenji ,na hizo madai nyingine ni KWELI tumeonewa na huyu Rais wetu. It was unfair election.
Uhuru wa habari una Mushkeli..

Na probably mengi yatakuja .... Huo moyo wako wa kumuunga mkono unaweza kuyayuka huo tuendako...

Tuvute subira, tusimsifie mgema akaitia maji tembo.


Dunia ni kijiji kimoja, tusidanganyane. Kila taifa linahitaji jingine ..

Hii ni natural law.
Kusimama wenyewe in a long run, ...Jeuri hiyo hatuna.

Mabadiliko tuliyoyaimba wakati wa kampeni yanaweza kuwa postponed for the next generation..

Ili tuendelee
Tunahitaji
Good gavance
demokrasi
freedom of speech,
Rule of law
strong and effective opposition political parties.

Utaona kuna vitu huu utawala umevi ruined.
akili yako imeganda mkuu; you need prayers. ukiona mzungu kapaniki ujue unachofanya ni sahihi. lakini ukiona anakusifia sana jipime. naamini kinachofanyika ni sahihi na kelele zote hizi ni woga wao wa kupoteza faida waliyokua wanaipata.
 
Rushwa ni adui wa haki dunian inajua Na watanzania tunajua hivyo, ninyi kwa makusudi kabisa mmegeuza rushwa kuwa rafiki wa haki, mpaka sehemu tukufu mnadai Na kupokea rushwa,
Hehehe ushaushapiga kiroba
 
ukawa wanajipendekeza kwa wazungu ili wawasaidie kuingia madarakani. hakuna zaidi ya hilo.
Zama zenu zimefika, bibilia imesema mtakalolikataa duniani hata mbinguni limekataliwa, rudini kwenye misingi bado hamjachelewa
 
Zama zenu zimefika, bibilia imesema mtakalolikataa duniani hata mbinguni limekataliwa, rudini kwenye misingi bado hamjachelewa
ndicho anachokifanya magufuli kutengeneza misingi ya Taifa linalojitegemea and always that comes with a high price kama hivi kunyimwa misaada. Ni ajabu sana kwa mtu mwenye nia njema na taifa lake kutokuliona hili.
 
Zama zenu zimefika, bibilia imesema mtakalolikataa duniani hata mbinguni limekataliwa, rudini kwenye misingi bado hamjachelewa
ndicho anachokifanya magufuli kutengeneza misingi ya Taifa linalojitegemea and always that comes with a high price kama hivi kunyimwa misaada. Ni ajabu sana kwa mtu mwenye nia njema na taifa lake kutokuliona hili.
 
Kwani tumelala?
Kucheza pool asbh, kushinda vijiweni kwa story za alinacha SIO KULALA?? 'Oh! jana tuliwakosakosa kuwafunga Chelsie, mara Oh! sisi Man U tuna fedha nyingi sana za kusajili wachezaji majembe! hizi ni zaidi ya ndoto za mchana! Tufanye kazi vijana!
 
msapoti ww na wapuuzi wenzako, musiwabebeshe msalaba watz wote kwa kosa la ccm wachache
 
ukawa wanajipendekeza kwa wazungu ili wawasaidie kuingia madarakani. hakuna zaidi ya hilo.
Inaonekana bado unapelekeshwa na hangover ya viroba. kwa unavyovitoa hapa jukwani ni bure kabisa vipo nje ya mada.
 
akili yako imeganda mkuu; you need prayers. ukiona mzungu kapaniki ujue unachofanya ni sahihi. lakini ukiona anakusifia sana jipime. naamini kinachofanyika ni sahihi na kelele zote hizi ni woga wao wa kupoteza faida waliyokua wanaipata.
Pole sana kwa kulewa Pombe ya magu na kupuuza haki na demokrasi ya vyama vingi...

Hivi umewahi kujiuliza kwanini tulikua tunategemea misaada yao miaka yote hiyo?
Nani alikuambia uta import malighafi nje kwa kutumia Tanzania shilings.? Tshillings mwisho wake ni Bureu de change.

Tunahitaji dollars. Hela ya madafu ni hukuhuku uswazi. Hela inayoporomoka thamani kila siku nani ataitaka kufanya exchange internationally?!!

unadhani ni kipi tunachofanya ambacho ni sahii so far , ilihali serikali yako pamoja namatamko.mbalimbali kujieleza bado haijatoa tamko kua wazungu walikua wanatunyonya na sasa tumewabania ndio maana wamepaniki? Ni kipi chanzo chako cha taarifa hizo?
Usiishi kwa hisia Ndugu. Think critically..
Kama ni kweli, Mbona Mugabe aliweka wazi, sisi mbona hatusemi kua ndio sababu ?
 
ni jambo la kawaida kabisa katika utendaji dunia nzima kua pale unapoassume office inachukua muda kidogo kuimplement plans za mtangulizi wako na zako pia..lets give a man some time he nearly has spent 6 months in office it is erroneous to hold him accountable of some minor mis slips at this juncture.

Wewe kiazi huo ni mpango wa kibajeti.... Bado bajeti ya mwaka huu haijapita!! Tumpe time kwani umeambiwa hii ni dira?
 
Back
Top Bottom