Hahahahahaa sikucheki ila nimekumbuka hekaheka za Baba Belinda....
Tumepishana miaka 5, yeye akiwa na miaka 55 mimi nilikuwa na miaka 50.
Tulichukua likizo ya mwezi mmoja, aiseeh tulipampuana siku nzima.
Siri kubwa kati yetu ni mazoezi na lishe bora, Ila pia bado tuna mahaba kila mmoja wetu bado anamhitaji mwenzie kimwili, kihisia na kilakitu.
Achana na madawa ya kuongeza nguvu ni danganya toto hiyo.
Kasie mpenda Mahaba.