Vijana oeni mapema

Sasa ukioa mapema si ndo unashindwa kuonyesha huo uwezo, maana huyo mkeo ukishamzoea unakuwa hauna stimu nae.... Show za nje ndio unakuwa fiti...?!
 
Bibi ulipotea mnooh, nimekumis sanaaaaaah
 
Haaswaaaa.....

Tena na Mahabat wangu, namkumbatia hivi namshika pale tunapigana mweleka puuh...

Tukiamka nguvu imerejea mara dufu aahahahaahhahaa
yaan nikiona comment ako, bas mie huku furaha tupuuh lol
 
My Two Law Of Marriage

1) I can't get marriage before my economic status stabalize atleast to have 2 sources of income.

2) I must engage in marriage before reaching my 29, 28 is maximum age...now am 25.
Hiki kizungu cha ndani kabisaa
 
Wacha weee
 
Nadhani vizuri ungewashauri hao vijana waanze kujitegema mapema na watumir muda wao kwa vitu positive binafsi na kitaita.

Hapo unatrngeneza taifa la wafanya ngono na masikini wanaopiga kura kiushabiki.
 
Aisee, tunajitahidi ila bei ya mahari ni kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…