Vijana njooni tujifunze kitu

Vijana njooni tujifunze kitu

Naenda kukopa benki halafu nafanya muziki... [emoji23] [emoji1] uone kama sitatoboa kimaisha...
 
Mkopo milion10 unaenda kujenga nyumba ambayo nayo unaitunza, ulikosea sana.
Rafiki yako anakopa ili akalime halafu analima kwa simu, bila kuangalia na msimu
 
kuna watu wanasema hela ipo shamba ni kweli lakini inabidi mtu ujipange haswa.
Only if ukiweza cheza na timing,
Kama ni kilimo cha mvua basi wewe fanya cha kumwagilia ilmradi uende kinyume na msimu... akyanani lazima uwe milionea ....
 
Back
Top Bottom