Vijana Njooni CCM, ndoto zenu zitatimia

Nilidhani mtoa mada angetoa somo la vijana kujikwamua kiuchumi kutoka katika lindi la umaskini unaokua kila siku. Sijaona popote ambapo mtoa mada amekuwa "objective" katika kuonesha jinsi gani kijana wa kijijini asiyekuwa na elimu ya chuo kikuu anaweza kunufaika na uwepo wa ccm. Mtoa mada anazungumzia "the privileged few" kama yeye ambao ni sehemu ndogo sana ya vijana wa nchi hii "and very unfortunately" ni vijana wa "class" ya juu na wala sio ile ya kati au ya chini. "Unless" anifafanulie tena alichotaka kuandika "otherwise" hakuna hoja yenye mashiko hapa.
 
mara nyingi ambao wanawaza kama wewe ni wale ambao misukule wafuasi wa josephine. Lakini kijana makini hawezi kukubaliana n mawaz yako. CCM ndio mpango mzima.,binafsi natamani ningeanza maisha yangu ya kisiasa ndani ya CCM, najihisi kuchelewa.

Mimi Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA natangaza rasmi Mtela Mwampamba na Habib Mchange ni wanachama hai na halali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Hivyo nawaomba waendelee na kazizao za ujenzi wa chama kwenye majimbo yao na taifa kwa ujumla. Nawaomba wananchi na wanachama wote wa CHADEMA waendelee kuwa na imani dhidi ya vijanahawa. Kama mlivyomwamini Mwampamba na kumpa kura 32000 na kama mlivyo mwamini Mchange na kumpa kura 10,400 kwenye uchaguzi wa Ubunge mwaka 2010. Vivyo hivyo naowaombamuendelee kushirikiana nao kuhakikisha wanatimiza adhima ya ukombozi mwaka2015.

Wenu katika ujenzi wa demokrasia makini

Juliana Daniel Shonza

M/Kiti BAVICHA-Tanzania Bara.

July, unayakumbuka haya maneno?
 
PM ni kijana mwenzenu ambaye ameanza KUWEKEZA kwenye SIASA. Kawapa ushauri mzuri. Hivi PM angefikaje Bunge la Katiba bila kuwa CCM? Nimemsifu PM sio mchoyo.


Huku kungine kugumu sana. Hakuna namna unaweza kumwondoa mtu kama John Cheyo au Dr Slaa kwenye nafasi walizopo ukabaki salama.
 
Kweli Makonda una upeo finyu sana wa kufikiri. Yaani unazungumzia vijana kama January Makamba, wakati amepanda ngazi kwa mgongomwa babaake Yusuf? Hujui kuwa siku hizi CCM imebaki kurithisha vijana wao madaraka? Leo Makamba kambeba mwanaye Bumbuli, mara JK kamtuma Ridhiwani Chalinze, mara watoto wa vigogo wamejazwa ndani ya NEC na BOT. Hiyo ndio dira ya vijana kwa CCM?

Katika mambo unayopaswa kuyajua ni kwamba, sio dhambi kwa mtoto wa mwanasiasa kuwa mwanasiasa kama vile ilivyokuwa sio dhambi kwa mtoto wa mvuvi kuwa mvuvi. Dhambi ni ikiwa tu atakuwa amefikia mafanikio yake kisiasa kwa kubebwa. Na itakuwa ni kutotenda haki kwa kuwataja watu kama akina January Makamba, Nape Nnauye au Ridhwan Kikwete kuwa wamefikia mafanikio yao kisiasa kwa migongo ya baba zao, ama kwa majina ya baba zao.

Atakayesema hayo ni wazi hajui historia sahihi ya Vijana hao, hajui uwezo wao na ari zao kisiasa.
 
PM ni kijana mwenzenu ambaye ameanza KUWEKEZA kwenye SIASA. Kawapa ushauri mzuri. Hivi PM angefikaje Bunge la Katiba bila kuwa CCM? Nimemsifu PM sio mchoyo.


Huku kungine kugumu sana. Hakuna namna unaweza kumwondoa mtu kama John Cheyo au Dr Slaa kwenye nafasi walizopo ukabaki salama.

Noted...!!
 
Nilidhani mtoa mada angetoa somo la vijana kujikwamua kiuchumi kutoka katika lindi la umaskini unaokua kila siku. Sijaona popote ambapo mtoa mada amekuwa "objective" katika kuonesha jinsi gani kijana wa kijijini asiyekuwa na elimu ya chuo kikuu anaweza kunufaika na uwepo wa ccm. Mtoa mada anazungumzia "the privileged few" kama yeye ambao ni sehemu ndogo sana ya vijana wa nchi hii "and very unfortunately" ni vijana wa "class" ya juu na wala sio ile ya kati au ya chini. "Unless" anifafanulie tena alichotaka kuandika "otherwise" hakuna hoja yenye mashiko hapa.

Kwa bahati mbaya wengi ya Vijana hawajui historia yangu na hivyo hujikuta katika mkanganyiko mkubwa wakiwa wanajaribu kujadiliana na mimi. Hoja yako ndugu yangu haiko sahihi, mimi si miongoni mwa "HIGH CLASS" au "PRIVELEDGED FEW" mimi ni mtoto wa masikini, niliyekulia kijijini kabisa Usukumani kwetu. Ila nataka ufahamu kuwa mafanikio yangu ya kimaisha, kiuchumi na kisiasa kunatokana na Chama Cha Mapinduzi..,malezi ya Mzee wangu Makamba, Jakaya, Kinana na wengineo yamenifikisha hapa nilipo.

Kuniambia kuwa sijawafikiria Vijana wa Vijijini katika post hii, nasema ni uelewa wa taratibu sana wa kile nilichokiandika, nikitaja Vijana waje kwenye CCM kwani ndiko kwenye fursa namaanisha Vijana wote na namaanisha fursa za aina zote, wala sibagui kuwa ni graduates tu ama vijana wa mjini pekee...jaribu kusoma na kuelewa kabla haujachangia.
 
Ingefaa sana iwapo ungeainisha mafanikio ya hao "vijana" uliowatolea mfano kuwa "ndoto zao zimetimia" ili tufahamu walikuwa na ndoto gani (zaidi ya kupata vyeo / tu).

Kwa mafanikio, ninamaaisha kwa jamii nzima ya waTanzania kuwaletea maisha bora.

Iwapo unachokisema kwenye bandiko lako ni kuwavutia tu vijana waje "kupiga hela" etc., kwangu mimi ninaona ni propaganda "hasi" kwa chama chenu.

Ninashauri ungehamasisha vijana wa Tanzania (ukiwa mwenzao) wafanye kazi popote walipo kwa juhudi na maarifa ili kujiletea maendeleo yao na jamii zao, mwishowe nchi nzima.

Ni bahati mbaya sana kwamba vijana wengi siku hizi mnadhani vyama vitaleta maendeleo yoyote kwa taifa. Ni bahati mbaya zaidi kuwa vijana wenyewe ndiyo mnaojipambanua kuwa na elimu. Sasa wasio na elimu sijui ndiyo wakoje. Loh!

Tafadhali ainisha "ndoto zilizotimia" sambamba na majina ili vijana wenzio wafahamu ulichoandika badala ya hii "who's who", waambie "who done what".

Ni ushauri wangu kwako na vijana wengine. Jaribuni kufikiria zaidi ya vyama.
 
Huyo ni sawa na kichwa nazi hajitambui. Nimeona picha yake jana akimsindikiza Sitta kuchukua fomu. Yaani ukiiangalia ile sura ni full kujikomba. Kijana gani anayejitambua anajikomba komba ili aonekane na kupewa makombo? Kweli Makonda ni nazi tupu.
View attachment 144409


Sent from my iPad using JamiiForums

Mkuu chama cha majambazi kujikomba ndo Dili. Hata mwenyewe kakili kuwa kawahi kufanya makosa lkn alivyojikomba kwenye moja ya makundi yaliyopo pale magambani, ndo akapewa ujumbe wa bunge la katiba. Kijana anayejitambua kamwe hawezi kujiunga na HAYA mapirate ccm.
 
mara nyingi ambao wanawaza kama wewe ni wale ambao misukule wafuasi wa josephine. Lakini kijana makini hawezi kukubaliana n mawaz yako. CCM ndio mpango mzima.,binafsi natamani ningeanza maisha yangu ya kisiasa ndani ya CCM, najihisi kuchelewa.

Na wewe unajiita mwanasiasa pia? Hii nchi kwisha kabisa.
 
Well said brother..vijana wameshakuelewa.

...hivi maisha yako hayawezi kwenda bila kulamba watu miguu,asa unamdanganya kwa faida ya nani...? njaa mbaya sana,na we makonda ukikaa na kutegemea feedback toka kwa watu wako kama akina shonza umekwisha,vijana tushaamka na sasa tunaelimisha vyuoni subiri moto wake baada ya 5years....
 
(v) Wewe ndani ya chama upo kambi gani?

Ni hayo tu kwa leo Mh. Paul Makonda.

Nimeipenda hii manenoo! Mtikila aliwahi kusema wanawake wengi ndani ya uongozi wa hiki chama ni MAGODORO YA WAKUBWA! Hebu muulize anajua kilichomkuta Nakaaya S. alipokuwa na fikira kama zake za kuwa mmoja wa vijana wa hiki chama?
 
mara nyingi ambao wanawaza kama wewe ni wale ambao misukule wafuasi wa josephine. Lakini kijana makini hawezi kukubaliana n mawaz yako. CCM ndio mpango mzima.,binafsi natamani ningeanza maisha yangu ya kisiasa ndani ya CCM, najihisi kuchelewa.

msukule ni wewe huko ccm watakutumia kisha watakumwaga kama ndomu boya wew
 
Back
Top Bottom