Vijana na watanzania kiongozi au mwanasiasa anapijitokeza kukemea maovu ya serikali acheni kauli za kizamani kuwa mbona hakuyasema mapema.

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
kiongozi yeyote anapokemea maovu ya serikali hajisemei yeye kama yeye ni wajibu wake kuelimisha umna kuhusu uovu wowote unaofanywa na serikali yao sasa kuna wimbi kubwa la vijana linapotokea swala hilo mara nyingi kuna kauli za kizamani kuwa alikuwa wapi kusema hayo maneno kama haya hayajengi na haya ni maneno yaliyopitwa na wakati ! uovu hauwezi kutawala halafu watu wakaa kimya eti kwa sababu kiongozi flan alikuwa kwenye serikali au yumo ndani ya serikali kwa maana hiyo vijana hasa wa ccm mfano kenan kihongosi usitoe majibu ya jumlajumla kwa kauli alizozitoa Dr. Bashiru kama zinajenga au zibabomoa hatuwezi kukaa kuisifia serikali hata kama inakosea eti kwa kigezo kwamba kwa kuwa alikuwa ndani ya Serikali hapaswi kusema chochote bali anapaswa kushukru.hizi kauli hazina afya njema katika taifa letu.

Nasisi watoa maoni tumejijengea maneno ya alikuwa wapi mara mbona hakusema kipindi hicho mara amekosa mkate , kiongozi anapotoa maoni yake hatoi kwa ajiri ya kujisemea yeye mwenyewe bali husema kwa niaba ya wote.jiulize kama wewe huwezi kwenda kuzungumza kwenye media nani atakusemea matatizo yako?

Badilikeni vijana hata leo wakistaafu hao ns utawala ukawa na njia yake katika kuongoza nchi mtaanza kusema mbona kipindi hicho hakuyasema!

Binafsi mimi kiongozi yeyote anayekemea uovu na muunga mkono ili taifa lipone tukishindwa kuwaunga mkono vikundi vidogo vitajinemesha cake ya taifa huku watanzania zaidi ya mamilion wakikosa huduma za msingi za kijamii wengine wakiishi maisha mazuri na familia zao

Tanzania viongozi wa ccm wanaanda vijana wao kutawala watanzania kwani vijana wao husoma shule nzuri hadi wanamaliza huku wengine wakikosa miundo mbinu mizuri ya shule na kukosa elimu, kinachobaki unabaki kuwa chawa wao wa kusifu na kuabudu kama tunavyoona hivi sasa.



Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ikianzisha mradi wowote kama mkataba unasema miaka mitatu ni miaka hiyihiyo mitatu tunapata mradi cha ajabu sasa hivi mradi unaweza kuambiwa mara miaka mitatu mara minne mara mitano mara kuna tatizo kwenye mradi hayo yote jiulizeni nini kinachokuwa kinakwamisha miradi jueni ni hujuma pesa zinaliwa za kutekekeza miradi hyo,
 
MTU kama mnafiki lazima aambiwe...
Watu waliposema Tunashumkuru Rais Magufuli Kwa maendeleo ...mtu alikuwa kimya au akifurahia .
Watu wakisema tunamshukuru Rais Samia...unasema acheni kusifia Rais akifanya majukumu yake...huo ni unafiki na mnafiki lazima aanikwe
 
Viongozi wengi wa Tanzania ni kama ndumilakuwili na wanabadilika kama vinyonga.

Hata wanapokemea mabaya, mara nyingi wanakemea kwa malengo yao ya kisiasa, si kwa sababu hawapendi mabaya.

Na hili linaonekana wazi, kwa sababu wanakosa consistency.

Ndiyo maana watu wanauliza mbona hukukemea hili awali?

Hilo ni swali muhimu sana katika kumkamata mtu anayekemea mambo kisiasa, bila kufuata principle na kuwa consistent.

Usinyanyapae wanaouliza swali hili.

Wananchi wana haki ya kujua sio tu viongozi wanafanya nini, bali pia kwa nini viongozi wanafanya wanavyofanya (motive).

Kwa sababu, inawezekana kabisa mtu akafanya kitu kizuri, kwa sababu mbaya.
 
Kiongozi mzuri ni asiye badilika badilika katika misamamo yake na values zake.
Au akibadilika anakuwa muwazi kueleza sababu zilizomfanya abadilike.
 
kiongozi yeyote anapokemea maovu ya serikali hajisemei yeye kama yeye ni wajibu wake kuelimisha umna kuhusu uovu wowote unaofanywa na serikali yao sasa kuna wimbi kubwa la vijana linapotokea swala hilo mara nyingi kuna kauli za kizamani kuwa alikuwa wapi kusema hayo maneno kama haya hayajengi na haya ni maneno yaliyopitwa na wakati ! uovu hauwezi kutawala halafu watu wakaa kimya eti kwa sababu kiongozi flan alikuwa kwenye serikali au yumo ndani ya serikali kwa maana hiyo vijana hasa wa ccm mfano kenan kihongosi usitoe majibu ya jumlajumla kwa kauli alizozitoa Dr. bashiru kama zinajenga au zibabomoa hatuwezi kukaa kuisifia serikali hata kama inakosea eti kwa kigezo kwamba kwa kuwa alikuwa ndani ya serikali hapaswi kusema chochote bali anapaswa kushukru.hizi kauli hazina afya njema katika taifa letu.


Nasisi watoa maoni tumejijengea maneno ya alikuwa wapi mara mbona hakusema kipindi hicho mara amekosa mkate , kiongozi anapotoa maoni yake hatoi kwa ajiri ya kujisemea yeye mwenyewe bali husema kwa niaba ya wote.jiulize kama wewe huwezi kwenda kuzungumza kwenye media nani atakusemea matatizo yako?

Badilikeni vijana hata leo wakistaafu hao ns utawala ukawa na njia yake katika kuongoza nchi mtaanza kusema mbona kipindi hicho hakuyasema!

Binafsi mimi kiongozi yeyote anayekemea uovu na muunga mkono ili taifa lipone tukishindwa kuwaunga mkono vikundi vidogo vitajinemesha cake ya taifa huku watanzania zaidi ya mamilion wakikosa huduma za msingi za kijamii wengine wakiishi maisha mazuri na familia zao


Tanzania viongozi wa ccm wanaanda vijana wao kutawala watanzania kwani vijana wao husoma shule nzuri hadi wanamaliza huku wengine wakikosa miundo mbinu mizuri ya shule na kukosa elimu, kinachobaki unabaki kuwa chawa wao wa kusifu na kuabudu kama tunavyoona hivi sasa.



Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ikianzisha mradi wowote kama mkataba unasema miaka mitatu ni miaka hiyihiyo mitatu tunapata mradi cha ajabu sasa hivi mradi unaweza kuambiwa mara miaka mitatu mara minne mara mitano mara kuna tatizo kwenye mradi hayo yote jiulizeni nini kinachokuwa kinakwamisha miradi jueni ni hujuma pesa zinaliwa za kutekekeza miradi hyo

kiongozi yeyote anapokemea maovu ya serikali hajisemei yeye kama yeye ni wajibu wake kuelimisha umna kuhusu uovu wowote unaofanywa na serikali yao sasa kuna wimbi kubwa la vijana linapotokea swala hilo mara nyingi kuna kauli za kizamani kuwa alikuwa wapi kusema hayo maneno kama haya hayajengi na haya ni maneno yaliyopitwa na wakati ! uovu hauwezi kutawala halafu watu wakaa kimya eti kwa sababu kiongozi flan alikuwa kwenye serikali au yumo ndani ya serikali kwa maana hiyo vijana hasa wa ccm mfano kenan kihongosi usitoe majibu ya jumlajumla kwa kauli alizozitoa Dr. bashiru kama zinajenga au zibabomoa hatuwezi kukaa kuisifia serikali hata kama inakosea eti kwa kigezo kwamba kwa kuwa alikuwa ndani ya serikali hapaswi kusema chochote bali anapaswa kushukru.hizi kauli hazina afya njema katika taifa letu.


Nasisi watoa maoni tumejijengea maneno ya alikuwa wapi mara mbona hakusema kipindi hicho mara amekosa mkate , kiongozi anapotoa maoni yake hatoi kwa ajiri ya kujisemea yeye mwenyewe bali husema kwa niaba ya wote.jiulize kama wewe huwezi kwenda kuzungumza kwenye media nani atakusemea matatizo yako?

Badilikeni vijana hata leo wakistaafu hao ns utawala ukawa na njia yake katika kuongoza nchi mtaanza kusema mbona kipindi hicho hakuyasema!

Binafsi mimi kiongozi yeyote anayekemea uovu na muunga mkono ili taifa lipone tukishindwa kuwaunga mkono vikundi vidogo vitajinemesha cake ya taifa huku watanzania zaidi ya mamilion wakikosa huduma za msingi za kijamii wengine wakiishi maisha mazuri na familia zao


Tanzania viongozi wa ccm wanaanda vijana wao kutawala watanzania kwani vijana wao husoma shule nzuri hadi wanamaliza huku wengine wakikosa miundo mbinu mizuri ya shule na kukosa elimu, kinachobaki unabaki kuwa chawa wao wa kusifu na kuabudu kama tunavyoona hivi sasa.



Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ikianzisha mradi wowote kama mkataba unasema miaka mitatu ni miaka hiyihiyo mitatu tunapata mradi cha ajabu sasa hivi mradi unaweza kuambiwa mara miaka mitatu mara minne mara mitano mara kuna tatizo kwenye mradi hayo yote jiulizeni nini kinachokuwa kinakwamisha miradi jueni ni hujuma pesa zinaliwa za kutekekeza miradi hyo,
Ambacho hujui nikufundishe ni kua mwanasisa yeyote anakua kashalaaniwa tayari na anachoangalia ni masikahi yake na familia yake. Period. Mtaje yoyote Yule unaemsifia dunia hii huo ndio ukweli.

Ni vile Tu masilahi yake yanapogongana na ya jamii inayomzunguka baasi ndio huonekana mbora.

Hutaki, unataka huo ndio ukweli WA mambo.
 
kiongozi yeyote anapokemea maovu ya serikali hajisemei yeye kama yeye ni wajibu wake kuelimisha umna kuhusu uovu wowote unaofanywa na serikali yao sasa kuna wimbi kubwa la vijana linapotokea swala hilo mara nyingi kuna kauli za kizamani kuwa alikuwa wapi kusema hayo maneno kama haya hayajengi na haya ni maneno yaliyopitwa na wakati ! uovu hauwezi kutawala halafu watu wakaa kimya eti kwa sababu kiongozi flan alikuwa kwenye serikali au yumo ndani ya serikali kwa maana hiyo vijana hasa wa ccm mfano kenan kihongosi usitoe majibu ya jumlajumla kwa kauli alizozitoa Dr. bashiru kama zinajenga au zibabomoa hatuwezi kukaa kuisifia serikali hata kama inakosea eti kwa kigezo kwamba kwa kuwa alikuwa ndani ya serikali hapaswi kusema chochote bali anapaswa kushukru.hizi kauli hazina afya njema katika taifa letu.


Nasisi watoa maoni tumejijengea maneno ya alikuwa wapi mara mbona hakusema kipindi hicho mara amekosa mkate , kiongozi anapotoa maoni yake hatoi kwa ajiri ya kujisemea yeye mwenyewe bali husema kwa niaba ya wote.jiulize kama wewe huwezi kwenda kuzungumza kwenye media nani atakusemea matatizo yako?

Badilikeni vijana hata leo wakistaafu hao ns utawala ukawa na njia yake katika kuongoza nchi mtaanza kusema mbona kipindi hicho hakuyasema!

Binafsi mimi kiongozi yeyote anayekemea uovu na muunga mkono ili taifa lipone tukishindwa kuwaunga mkono vikundi vidogo vitajinemesha cake ya taifa huku watanzania zaidi ya mamilion wakikosa huduma za msingi za kijamii wengine wakiishi maisha mazuri na familia zao


Tanzania viongozi wa ccm wanaanda vijana wao kutawala watanzania kwani vijana wao husoma shule nzuri hadi wanamaliza huku wengine wakikosa miundo mbinu mizuri ya shule na kukosa elimu, kinachobaki unabaki kuwa chawa wao wa kusifu na kuabudu kama tunavyoona hivi sasa.



Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ikianzisha mradi wowote kama mkataba unasema miaka mitatu ni miaka hiyihiyo mitatu tunapata mradi cha ajabu sasa hivi mradi unaweza kuambiwa mara miaka mitatu mara minne mara mitano mara kuna tatizo kwenye mradi hayo yote jiulizeni nini kinachokuwa kinakwamisha miradi jueni ni hujuma pesa zinaliwa za kutekekeza miradi hyo,
[Vijana lazima tushangae saaana mkuu huyo bashiru nae alikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa kwenye utawala wa kusifu na kuabudu magufuri's sasa tunashangaa kuona eti leo nae mpingaji wa kusifu na kuabudu 😂😂😂 wanaomsifu mama samia kuna jinsi wananufaika na utawala wake na yeye wakati anamsifu magufuri kuna jinsi alikuwa ananufaika na utawala wake]
 
huu utanaduni utatumaliza viongozi watafanya watakayo wenyewe.
 
MTU kama mnafiki lazima aambiwe...
Watu waliposema Tunashumkuru Rais Magufuli Kwa maendeleo ...mtu alikuwa kimya au akifurahia .
Watu wakisema tunamshukuru Rais Samia...unasema acheni kusifia Rais akifanya majukumu yake...huo ni unafiki na mnafiki lazima aanikwe
Tena ni mnafiki, au ndumilakuwili,
 
kiongozi yeyote anapokemea maovu ya serikali hajisemei yeye kama yeye ni wajibu wake kuelimisha umna kuhusu uovu wowote unaofanywa na serikali yao sasa kuna wimbi kubwa la vijana linapotokea swala hilo mara nyingi kuna kauli za kizamani kuwa alikuwa wapi kusema hayo maneno kama haya hayajengi na haya ni maneno yaliyopitwa na wakati ! uovu hauwezi kutawala halafu watu wakaa kimya eti kwa sababu kiongozi flan alikuwa kwenye serikali au yumo ndani ya serikali kwa maana hiyo vijana hasa wa ccm mfano kenan kihongosi usitoe majibu ya jumlajumla kwa kauli alizozitoa Dr. bashiru kama zinajenga au zibabomoa hatuwezi kukaa kuisifia serikali hata kama inakosea eti kwa kigezo kwamba kwa kuwa alikuwa ndani ya serikali hapaswi kusema chochote bali anapaswa kushukru.hizi kauli hazina afya njema katika taifa letu.


Nasisi watoa maoni tumejijengea maneno ya alikuwa wapi mara mbona hakusema kipindi hicho mara amekosa mkate , kiongozi anapotoa maoni yake hatoi kwa ajiri ya kujisemea yeye mwenyewe bali husema kwa niaba ya wote.jiulize kama wewe huwezi kwenda kuzungumza kwenye media nani atakusemea matatizo yako?

Badilikeni vijana hata leo wakistaafu hao ns utawala ukawa na njia yake katika kuongoza nchi mtaanza kusema mbona kipindi hicho hakuyasema!

Binafsi mimi kiongozi yeyote anayekemea uovu na muunga mkono ili taifa lipone tukishindwa kuwaunga mkono vikundi vidogo vitajinemesha cake ya taifa huku watanzania zaidi ya mamilion wakikosa huduma za msingi za kijamii wengine wakiishi maisha mazuri na familia zao


Tanzania viongozi wa ccm wanaanda vijana wao kutawala watanzania kwani vijana wao husoma shule nzuri hadi wanamaliza huku wengine wakikosa miundo mbinu mizuri ya shule na kukosa elimu, kinachobaki unabaki kuwa chawa wao wa kusifu na kuabudu kama tunavyoona hivi sasa.



Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ikianzisha mradi wowote kama mkataba unasema miaka mitatu ni miaka hiyihiyo mitatu tunapata mradi cha ajabu sasa hivi mradi unaweza kuambiwa mara miaka mitatu mara minne mara mitano mara kuna tatizo kwenye mradi hayo yote jiulizeni nini kinachokuwa kinakwamisha miradi jueni ni hujuma pesa zinaliwa za kutekekeza miradi hyo,

Kabla huu upotoshaji wako wa kinafiki hazijakauka, awamu ya tano Ujenzi wa reli ya SGR kipande cha Dar-moro utakamilika kufikia November 2019, je ni kweli? Bomba la mafuta Uganda to Tanga litaanza kazi December 2020. Kaangalie kama bomba limefika Tanga. Au mnadhani tumesahau? Vitambulisho vya NIDA kwa kila mwenye sifa ilikuwa ni wimbo kwenye awamu hiyo, je imewezekana?

Huyo Bashiru ndio waliofanikisha kiburi cha madaraka cha Magufuli dhidi ya watu wote waliokuwa wanahoji. Kipindi Bashiru yuko madarakani ndio tuliona siasa za kishenzi kuliko kawaida. Hao akina Kihongosi ni matunda ya siasa za kishenzi za kina Bashiru chini ya Magufuli. Hivyo akae avune matunda ya siasa za kishenzi alizootesha
 
huu utanaduni utatumaliza viongozi watafanya watakayo wenyewe.

Acha wafanye kwani hata akina Bashiru walifanya watakacho na yoyote aliyehoji walimtia kilema, kumteka au kumbambikizia kesi. Maumivu yaliyoletwa na Bashiru kwenye utawala wa Magufuli bado tunayo.
 
Anaupiga mwingi wakati kupiga dana dana mbili tatu hawezi ni unafiki na kumlamba kisogo kwa mgongo wa chupa....

Bashiru yupo sahihi.
 
Vijana tumekengeuka! Tumekalili kusifia kuliko kukosoa, Ukweli kwetu mwiko, Unafiki ndio Cv ya kupata teuzi, kujulikana na kuonekana. Nipo kwenye makundi Whatsapp ya chama X, Vijana kwenye makundi hayo wanatumia nguvu nyingi kutoboa kimaisha kupitia siasa, hawana uwezo
wa kufikiri, kung'amua vitu na kujenga hoja wanachojua ni matusi kama ngao ya kujulikana kwa kuwafurahisha mabepari na wenda hao hao ndio wanaomshambulia Dr. Bashiru.
 
Back
Top Bottom