Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Wakati wa uchaguzi wa mwaka 2005, Jakaya kikwete alikuja na hatimaye kushinda kwa gear ya
kuwakwamua vijana kutoka kwenye mkwamo wa kiuchumi unaowakabili, akaenda mbele akadai
atatengeneza ajira milioni moja ndani ya miaka mitano.
wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, vijana walimgeuka Jakaya, wakamgeukia DR na chama
chake. sababu ni kwamba, achilia mbali mazingaombwe ya ufisadi, Jakaya akuweza kukidhi mahitaji
ya vijana, kuna watu wanadai hata ajira 1000 hazikutengezwa kwa ubunifu wake. mpaka wakati
kampeni zinaanza Jakaya alikuwa amepoteza kabisa kabisa uwezo wa kuwakabili na kuzungumza na
vijana wa kitanzania.
Takwimu zinaonyesha kwamba takiribani asilimia 45% ya watanzania ni vijana, kipande kingine kikubwa
ni watoto (vijana wa 2020). wakati Jakaya anatoa ahadi za peponi kwa vijana hawa mwaka 2005.
zaidi ya asilimia 80% ya vijana hawa hawakuwa na elimu ya zaidi ya form four(18M), nilikuwa najiuliza,
Jakaya anampango wa kuwapa ajira gani vijana wasio jua kusoma wala kuandika? ama mateja?
vijana waliozoea kukaa vijiweni? sikupata jibu. na ukweli ukajidhihirisha. He failed, na wao 2010 wakamfail.
Nikianzia Igunga, hata uchaguzi wa 2010 pia, ushahidi wa wazi kabisa unaonyesha vijana wamegeukia
CHADEMA, tena nadhani, kwa hasira za kudanganywa na ccm, wamegeuka kwa hasira nyingi sana,
wamechoka na hawako tayari kudanganywa tena. wao wanasema "WE NEED CHANGES". Its true,
vijana wamemwaga mboga na hawana mzaa, wanaiburuza ccm na kwa dhamira hii 2015 CCM will be no more.
Hofu yangu ni kwamba, CHADEMA wanawaandalia vijana hawa deal au wanawatumia tu? au na wao
wanafurahishwa na jinsi vijana hawa walivyoibadilikia ccm? Hawa wanataka unafuu wa maisha katika bei ya
bidhaa mbali mbali, wanataka kujenga makazi bora, wanataka elimu bora na inayopatikana kwa wote, ajira,
wanataka kuwa huru kuendesha mambo yao mbali kabisa na bureacratic system ya ccm na propaganda
za kiusalama, wanataka kuheshimiwa, wanataka mambo mengi kwa kweli ambayo hayapatikani
katika zama hizi.
Hofu nyingine ni kwamba hata CHADEMA ikishindwa kukidhi ama kujionyesha kwamba inayafanyia kazi
mambo haya inaweza kukataliwa kwa style mbaya zaidi ya babu ccm
kuwakwamua vijana kutoka kwenye mkwamo wa kiuchumi unaowakabili, akaenda mbele akadai
atatengeneza ajira milioni moja ndani ya miaka mitano.
wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, vijana walimgeuka Jakaya, wakamgeukia DR na chama
chake. sababu ni kwamba, achilia mbali mazingaombwe ya ufisadi, Jakaya akuweza kukidhi mahitaji
ya vijana, kuna watu wanadai hata ajira 1000 hazikutengezwa kwa ubunifu wake. mpaka wakati
kampeni zinaanza Jakaya alikuwa amepoteza kabisa kabisa uwezo wa kuwakabili na kuzungumza na
vijana wa kitanzania.
Takwimu zinaonyesha kwamba takiribani asilimia 45% ya watanzania ni vijana, kipande kingine kikubwa
ni watoto (vijana wa 2020). wakati Jakaya anatoa ahadi za peponi kwa vijana hawa mwaka 2005.
zaidi ya asilimia 80% ya vijana hawa hawakuwa na elimu ya zaidi ya form four(18M), nilikuwa najiuliza,
Jakaya anampango wa kuwapa ajira gani vijana wasio jua kusoma wala kuandika? ama mateja?
vijana waliozoea kukaa vijiweni? sikupata jibu. na ukweli ukajidhihirisha. He failed, na wao 2010 wakamfail.
Nikianzia Igunga, hata uchaguzi wa 2010 pia, ushahidi wa wazi kabisa unaonyesha vijana wamegeukia
CHADEMA, tena nadhani, kwa hasira za kudanganywa na ccm, wamegeuka kwa hasira nyingi sana,
wamechoka na hawako tayari kudanganywa tena. wao wanasema "WE NEED CHANGES". Its true,
vijana wamemwaga mboga na hawana mzaa, wanaiburuza ccm na kwa dhamira hii 2015 CCM will be no more.
Hofu yangu ni kwamba, CHADEMA wanawaandalia vijana hawa deal au wanawatumia tu? au na wao
wanafurahishwa na jinsi vijana hawa walivyoibadilikia ccm? Hawa wanataka unafuu wa maisha katika bei ya
bidhaa mbali mbali, wanataka kujenga makazi bora, wanataka elimu bora na inayopatikana kwa wote, ajira,
wanataka kuwa huru kuendesha mambo yao mbali kabisa na bureacratic system ya ccm na propaganda
za kiusalama, wanataka kuheshimiwa, wanataka mambo mengi kwa kweli ambayo hayapatikani
katika zama hizi.
Hofu nyingine ni kwamba hata CHADEMA ikishindwa kukidhi ama kujionyesha kwamba inayafanyia kazi
mambo haya inaweza kukataliwa kwa style mbaya zaidi ya babu ccm