Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,225
- 859,611
Nimeamua niwasanue vijana wenzangu tafuta wa umri wako hawa km zimesoma sana wasipokupiga na UKIMWI wanakupiga na homa ya in.
Wa mama watu wazima kuanzia 40 wanapenda sana kugongwa
Nimeamua niwasanue vijana wenzangu tafuta wa umri wako hawa km zimesoma sana wasipokupiga na UKIMWI wanakupiga na homa ya in.
Wa mama watu wazima kuanzia 40 wanapenda sana kugongwa
Usiingilie sana Privacy za watu.
usiingilie sana Starehe za watu.
Usiingilie sana Maisha ya watu
Usiingilie sana Maisha ya watu.
Ahahahaha naona mnatangwa maji kwenye kinyu sijuiPoor Brain mimi sitii neno.
No,Labda kwa wenye bima,anzia hospital za wilaya ni uhakika.Sorry hivi chanjo ya homa ya ini zinatolewa bure au zinauzwa na zipo kwenye hosp za level zipi
Ila hawa wamama watu wazima wamezidi umalaya kwa watoto na vijana wengi wanajikuta Wapo kwenye visungura ili kutafuta nyege kumbe ndo wanajiua plus UKIMWIUnazungumzia mashuga mama tu unacha kuwaambia pia waepukanane na visungura,dabokiki na sigara ambavyo vinafanya vijana waonekane wazee
Ila hawa wamama watu wazima wamezidi na vijana wengi wanajuta Wapo kwenye visungura ili kutafuta nyege kumbe ndo wanajiua plusUnazungumzia mashuga mama tu unacha kuwaambia pia waepukanane na visungura,dabokiki na sigara ambavyo vinafanya vijana waonekane wazee
Mashuga toto afadhar hayana ujasr kama mimama mijitu mizima, mfano anakuomba uende kwake ukamfungie taa unakuta kavaa kanga Moja halafu fupi halafu anakusogelea 🤣🤣Kwa hao mashuga toto hawana hayo magonjwa?kwa akili yako
Thanks much kwa maelezo mazuriNo,Labda kwa wenye bima,anzia hospital za wilaya ni uhakika.
Chanjo inalipiwa kuanzia kupima mpaka kumaliza dozi 3 haizidi 60K.
Unalipia kwa awamu 3 kila ukienda kuchoma!
Ni hatari sanaIla hawa wamama watu wazima wamezidi umalaya kwa watoto na vijana wengi wanajikuta Wapo kwenye visungura ili kutafuta nyege kumbe ndo wanajiua plus UKIMWI