Vijana msioe kama bado hamjajipanga, unakuta mtu anampakiza mama mkwe kwenye gari kama passo, ist, vitz n.k

Yaani amwigizie maisha mkwewe, hizo ni akili za kitoto na huna sifa ya kuoa. Mtu anayeoa ni yule aliyekia kiakili na kuishi maisha halisi ili awe huru kufanya mambo yake. Maisha yanatofautiana, huwez kusubiri mpk uwe tajiri ndipo uoe ilihali hujui hata destiny yako. Usichanganye hisia za mapenzi na material
 
Mama mkwe wake anakuja toka mkoani. Sasa ananambia anataka akampokee airport.nikamuuliza utatumia usafiri gani. Anasema atatumia gari yake RAV 4 KILL TIME. nmeshtuka sana.

Nmemuuliza kama yupo serious.unawezaje mpakiza mama mkwe gari ya namna hiyo? Hiyo Rav 4 si ni sawa na IST tu engine yake? Nmemwambia aje home achukue BMW sababu mama mkwe wake atakaa Week then akae nayo tu week.

Alichonijibu ndo nmechoka. Eti hana uwezo wa kununua mafuta kwa ajili ya BMW... nmeshangaa sasa jamaa aliwezaje kuoa? Sometime vijana tunaoa tukiwa bado hatupo vizuri.

Nmemwambia nakuwekea full tank mwache mama mkwe aenjoy hapa mjini.nmemjazia mafuta atatumia week nzima. Kuhusu ajali nmemwambia asijali mi gari zangu zote iwe ile Benz, zile Range Rover mbili, Ford Ranger na BMW zote nazikatia Bima kubwa.

Mi nawashauri vijana msioe kama bado hamjajipanga.unaweza kuta mtu anampakiza mama mkwe kwenye gari kama passo,ist,vitz n.k hii inataka moyo sana.kikawaida ni ngumu.

Huto tugari ni kwa ajili ya kuwapa wadada wa kazi kwendea sokoni n.k but si kutumia mtu mzima. Mi nashauri tusione kabla ya wakati. Tusubiri tu...siyo kuja kuwapa shida watoto wa watu.

"The hungry man is angry" just come and spit your stuff. Sisi tunakula maisha.nyie je mnakula nini?

hiwe ina bidi upate sehemu yako ya bepari la kihaya.
hata kwa sifa hizi
 
Mama mkwe wake anakuja toka mkoani. Sasa ananambia anataka akampokee airport.nikamuuliza utatumia usafiri gani. Anasema atatumia gari yake RAV 4 KILL TIME. nmeshtuka sana.

Nmemuuliza kama yupo serious.unawezaje mpakiza mama mkwe gari ya namna hiyo? Hiyo Rav 4 si ni sawa na IST tu engine yake? Nmemwambia aje home achukue BMW sababu mama mkwe wake atakaa Week then akae nayo tu week.

Alichonijibu ndo nmechoka. Eti hana uwezo wa kununua mafuta kwa ajili ya BMW... nmeshangaa sasa jamaa aliwezaje kuoa? Sometime vijana tunaoa tukiwa bado hatupo vizuri.

Nmemwambia nakuwekea full tank mwache mama mkwe aenjoy hapa mjini.nmemjazia mafuta atatumia week nzima. Kuhusu ajali nmemwambia asijali mi gari zangu zote iwe ile Benz, zile Range Rover mbili, Ford Ranger na BMW zote nazikatia Bima kubwa.

Mi nawashauri vijana msioe kama bado hamjajipanga.unaweza kuta mtu anampakiza mama mkwe kwenye gari kama passo,ist,vitz n.k hii inataka moyo sana.kikawaida ni ngumu.

Huto tugari ni kwa ajili ya kuwapa wadada wa kazi kwendea sokoni n.k but si kutumia mtu mzima. Mi nashauri tusione kabla ya wakati. Tusubiri tu...siyo kuja kuwapa shida watoto wa watu.

"The hungry man is angry" just come and spit your stuff. Sisi tunakula maisha.nyie je mnakula nini?
Natafuta tusi moja nikutukane sema nimekusamehe maana nyuma ya keyboard uwenda nawe unamwomba mungu upate chakuamshia kinywa siku ya leo
 
Hongera Mhaya kwa kumiliki magari ya kifahari
Mimi ninavyojua Kila mtu anayeishi maisha ya uwezo wake lazima atakua na amani moyoni usitulazimishe tuishi maisha yako
 
Màisha yanapishàna sana.kuna jamaa bàada ya kuoa baba ake akawa anampatia 1 MILL kila mwezi akimwambia najua kazini kwenu hamna mshahàra.wakati aliyeolewa name ana mshahara.
 
Hahahaha sio kwa povu hili we mtu nimekumiss
kijana mpumbavu huyu anatuletea hekaya za abunuwasi anaandika kuhusu range huku hata boxer hana...


mekumiss pia insta babe... leo asubuhi nilikuwa nakutafuta kwenye chocho zako hadi nikakupata nahisi uliona salamu zangu
 
kijana mpumbavu huyu anatuletea hekaya za abunuwasi anaandika kuhusu range huku hata boxer hana...


mekumiss pia insta babe... leo asubuhi nilikuwa nakutafuta kwenye chocho zako hadi nikakupata nahisi uliona salamu zangu
Mh mbona sijaona hizo salaam jamani ulifika chocho gani uko insta babe
 
Mwandishi wa uzi huu hata pikipiki aina ya Boxer sidhani kama amewahi kuimiliki.
Na kama anayo basi alinunua hizi used za laki 8.
 
Mama mkwe wake anakuja toka mkoani. Sasa ananambia anataka akampokee airport.nikamuuliza utatumia usafiri gani. Anasema atatumia gari yake RAV 4 KILL TIME. nmeshtuka sana.

Nmemuuliza kama yupo serious.unawezaje mpakiza mama mkwe gari ya namna hiyo? Hiyo Rav 4 si ni sawa na IST tu engine yake? Nmemwambia aje home achukue BMW sababu mama mkwe wake atakaa Week then akae nayo tu week.

Alichonijibu ndo nmechoka. Eti hana uwezo wa kununua mafuta kwa ajili ya BMW... nmeshangaa sasa jamaa aliwezaje kuoa? Sometime vijana tunaoa tukiwa bado hatupo vizuri.

Nmemwambia nakuwekea full tank mwache mama mkwe aenjoy hapa mjini.nmemjazia mafuta atatumia week nzima. Kuhusu ajali nmemwambia asijali mi gari zangu zote iwe ile Benz, zile Range Rover mbili, Ford Ranger na BMW zote nazikatia Bima kubwa.

Mi nawashauri vijana msioe kama bado hamjajipanga.unaweza kuta mtu anampakiza mama mkwe kwenye gari kama passo,ist,vitz n.k hii inataka moyo sana.kikawaida ni ngumu.

Huto tugari ni kwa ajili ya kuwapa wadada wa kazi kwendea sokoni n.k but si kutumia mtu mzima. Mi nashauri tusione kabla ya wakati. Tusubiri tu...siyo kuja kuwapa shida watoto wa watu.

"The hungry man is angry" just come and spit your stuff. Sisi tunakula maisha.nyie je mnakula nini?
Kwa maoni yangu wewe ni mpumbavu sana.
Kwa hiyo wasio na magari wasioe?
 
We ndo mjinga uliyeleta mada hii, kwani mama mkwe ni Mola? Huenda huko alipo hata gari tu hana
 
Back
Top Bottom