mkuu jifunze kwa waliofanikiwa. Mafanikio hayapatikani darasani kumbuka hilo.Huyu nae hasitusumbue na utajiri wa kurithi hiv anekuwa yy ndo chanzo cha fedha hizo hapo kwao mbona tungekoma,babake na babu zake wako kimnya
Mkuu kuna wengi walio zaliwa kwenye familia tajiri lakini ni vilaza wakutupwa.Huyu kakulia familia bora, angesema hayo iwapo naye angekuwa ameishi kwa Mpalange na kufikia hapo alipo
Duuh wabongo nuksiHana lolote huyo bwisi...hajui lolote kuhusu hustle,akae tu hapo atie visaini saini vyake wanaume wamfanyie kazi
Chukua mazuri yake , mabaya yake muachie mwenyeweHuyu kakulia familia bora, angesema hayo iwapo naye angekuwa ameishi kwa Mpalange na kufikia hapo alipo
mkuu hivi unajua huyu bwana kwa kulipa kodi wewe unatibiwa na watoto wako wanasoma bure?Hana lolote huyo bwisi...hajui lolote kuhusu hustle,akae tu hapo atie visaini saini vyake wanaume wamfanyie kazi
Huyu kakulia familia bora, angesema hayo iwapo naye angekuwa ameishi kwa Mpalange na kufikia hapo alipo
Penye miti HAMNA wajenzi.Mkuu. Huyu Bw namuheshimu sana. Tatizo la vijana wengi nchi hii ni kulalamika na uvivu katika kufanya kazi na kupenda kula bata sana.
vijana wengi wanadhani mbaya wao na umaskini wao au kukosa ajira kuna sababishwa na chama cha mapinduzi. Kumbe sio kweli bali ni wao wenyewe kwa kushindwa kutumia fursa zilizopo na muda vizuri.
tatizo lingine ni kutokua na "MAONO" Na "MALENGO" Ukikosa vitu hivi 2 utakua kama mtumwa kwenye nchi iliyojaa maziwa na asali.
watakuja wageni wataziona fursa na kuzifanyia kazi nawatakuajiri kama kibarua.
Ndipo usemi wa penye miti hapakosi wajenzi unatimia kwa wageni na wanaojua kutumia walichonacho vizuri uongezewa unatimia.
mimi namshukuru Mwenyezi Mungu alinifundisha hekima ya kutoka na kuingia katika nchi yangu nzuri tanzania yenye kila kitu kizuri. Nakunibariki katika vitu vyote.
nanimewafundisha watoto wangu kamwe wasimwone mtu awaye yote kwamba ndio sababu ya kutokufanya vizuri maishani.
Maana Mungu hakuwaumba washindwe kufanikiwa. Kila mtu ni tajiri ila mpaka ujitambue.
Pale alipo hata wewe unaweza tu kukaa pale pale bila tatizo lolote..mkuu hivi unajua huyu bwana kwa kulipa kodi wewe unatibiwa na watoto wako wanasoma bure?
Pale alipo hata wewe unaweza tu kukaa pale pale bila tatizo lolote..
Walaumu mababu zako mzeebaba,mim kama mimi mo dewji hawezi ongea kitu nimsikilize sina cha kujifunza kutoka kwake.
Nitamsikiliza mtu alienza na 0 sio yule tajiri wakuteuliwa na familia
Huko unakoita kuteuliwa pia kunahitaji sifaPale alipo hata wewe unaweza tu kukaa pale pale bila tatizo lolote..
Walaumu mababu zako mzeebaba,mim kama mimi mo dewji hawezi ongea kitu nimsikilize sina cha kujifunza kutoka kwake.
Nitamsikiliza mtu alienza na 0 sio yule tajiri wakuteuliwa na familia