Vijana msiklizeni Mo Dewji

Vijana msiklizeni Mo Dewji

Vijana wengi wanaishi juu ya uwezo wao

Wakipata vi 3m wanakimbilia kununua used corola ili watie heshima mjini

# vijana hwataki kulima wote wapo mjini

Wakishakula chips yai na kipaja cha bloiler wanakunywa maji mengi 1.5ltr ya uhai, Wanatafuta sehemu yenye kivuli waanze kumlaumu MAGUFULI
 
Sasa tumsikilize kanjibai alie zaliwa kwenye hela hajui chochote kuhusu ao vijana unao waongelea apo upuuzi ....sio vyote vya kusikiliza
 
Huo ni mtazamo wake..Mtazamo wangu pata pesa kula pesa tumbua nchi kula mema ya dunia pesa zipo kwa ajiri ya matumizi ukifa una ziacha siwezi kujibana katika kula mema ya nchi
 
Uyu jamaa hizo pesa amezirithi kutoka kwa familia yake asione kama watu wamelala hawatafuti pesa watanzania hawalali usiku na mchana wanapambana kutafuta ridhiki
 
Huyu muhindi hanipi motivation kwa lolote, kampuni kubwa ile inalipaje madereva 130,000
 
Vijana wengi wanaishi juu ya uwezo wao

Wakipata vi 3m wanakimbilia kununua used corola ili watie heshima mjini

# vijana hwataki kulima wote wapo mjini

Wakishakula chips yai na kipaja cha bloiler wanakunywa maji mengi 1.5ltr ya uhai, Wanatafuta sehemu yenye kivuli waanze kumlaumu MAGUFULI
hii comment imenifanya nitabasamu na nicheke peke angu, tokea asubuhi nilikuwa nimenuna.
 
Uyu jamaa hizo pesa amezirithi kutoka kwa familia yake asione kama watu wamelala hawatafuti pesa watanzania hawalali usiku na mchana wanapambana kutafuta ridhiki
haujamuelewa vizuri hapo kaongelea kukiheshimu unachokitafuta na sio kutafuta na kutumia vibaya kile ulichokipata
 
Ok mkuu ni kweli wengi wetu tumekuwa tunapata vipato vyetu lakini matumizi yakekuwa siyo ya mpangilio kwa kutarajia kesho utapata tena matokeo yake kesho unaambulia patupu
haujamuelewa vizuri hapo kaongelea kukiheshimu unachokitafuta na sio kutafuta na kutumia vibaya kile ulichokipata
 
Back
Top Bottom