Vijana LOVE is not all about SEX

Vijana LOVE is not all about SEX

KikulachoChako

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
19,766
Reaction score
39,527
....habari....
unamkuta mtu kamfukuzia mdada akakubaliwa..
lakini hata wiki bado kwenye relation jamaa anaforce kula mzigo...tu..nawakumbusha vijana wenzangu kama unataka wa fasta fasta..kimbilia kimboka....lakini unapo mfukuzia mdada..make sure una malengo naye....NI HAYO TU..
 
chelewa chelewa...wadada wa siku hizi atakwambia subiri tufahamiane kwanza huku kuna jitu linachapa daily...we kazi kugharamia ukiamini ndo wife umepata...
 
me siwezi kumwita mwanamke demu wangu kama sijala mzigo... sifanyi kazi ya kushika mapembe wengine wa kukamua maziwa..
 
Kwa wadada wa karne hii utachapiwa hadi ukome.
 
chelewa chelewa...wadada wa siku hizi atakwambia subiri tufahamiane kwanza huku kuna jitu linachapa daily...we kazi kugharamia ukiamini ndo wife umepata...

mambo ya kusubirisha mtu halafu unakuta ana mbo.o kama punje ya harage!!! kupoteza muda tu.
 
Inaonesha watu wanamegwa sana kabla hawajaolewa.
Wengine mnatupa tuonje onje
 
kajipange uje upya.,,,! ivi njaa dawa yake nini.?
Eti malengo!? Imekua bussiness firm hiyo?

Chapa ilale.
 
Kwangu mimi sex first, the rest ni kuangalia kama unanifaa mbeleni. Kama unanifaa tunaanza mipango kama hufai kwaheri
 
....habari....
unamkuta mtu kamfukuzia mdada akakubaliwa..
lakini hata wiki bado kwenye relation jamaa anaforce kula mzigo...tu..nawakumbusha vijana wenzangu kama unataka wa fasta fasta..kimbilia kimboka....lakini unapo mfukuzia mdada..make sure una malengo naye....NI HAYO TU..

Weee siyo.wote wanataka njia kuu wengine wanaitaji rough road malengo ya nn.?
 
As a men lazima nionje mzigo.... hangaiken.. tuanen out... mwasho wa siku u must endup on bed... apo sasa ndo penye point...ukifel to show wat u knw about sex my friend u are nothing...
 
Back
Top Bottom