Vijana jipangeni kuchukua majimbo ya Ubunge maana 2025 wabunge 85% ya waliopo sasa hawatarejea

Suzy Elias

JF-Expert Member
Nov 9, 2021
1,067
6,193
Wabunge wa majimbo ya uchaguzi 2020 - 2025 wengi wao hawatarejea bungeni kwa sababu wamechagua kupata pesa kuliko kuwatetea wananchi.

Hivi leo hii kwa nyakati hizi za bila umeme na maji enzi za wabunge wa kweli kina Mnyika,Lema,yule dalali Zitto,Slaa na wengineo wenye kariba ya hao mijadala ingekuwaje?!

Yaani wawakirishi wa leo wanakaa na kupongezana tu bila kujenga japo hoja moja katika nyakati ngumu na hali ya kiuchumi kwa wananchi?

Vijana jipangeni kwenda kugombea majimbo kwa kutumia mapungufu ya hawa wasio na hoja. Nawathibitishia hata km watarejea kugombea kwa rushwa safari hii pesa yao italiwa na wananchi watapiga kura kwa wanaye mtaka.
 
Wananchi wenyewe hatujitambui!

Mfano wafuasi wa hao uliowataja ndio watetezi wa waziri wa mambo ya umeme!
.
Sasa hivi ukimsema tu Makamba juu ya umeme wafuasi wa Lema, Lisu, Sugu, Zitto, Mnyika nk wanakuita sukuma gang.

Nchi hii ipo hapa ilipo sababu ya upumbavu wa wamanchi.

Na mimi huwa nasema siku zote kwa aina hii ya watz kama umepata nafasi ya kupiga wewe piga ondoka. Kwamba umeleta impact gani kwenye nafasi yako hiyo haikuhusu.

Kuwatetea wapumbavu malipo yake ni upumbavu. Hiyo ipo hata kwenye vitabu vya dini.
 
2025 mbona ni mbali sana mkuu au mwenzetu unaongea na Mungu?
 
Nahakikisha Uchaguzi ujao ni rahisi mno kwa wapinzani tena kwa katiba hii hii
 
Nakuhakikishia uchaguzi uj
Uchaguzi ujao ni rahisi mno kwa wapinzani tena kwa katiba hii hii
Watapigwa sana hadi wachakae!

Siyo kwamba kwa sababu raia hawawapendi, hapana ila ni kwamba hawajitambui.
 
Sema wewe ndio hujitambui.
Mngekuwa mnajitambua Mbowe asingekaa pale segerea kwa miezi 4 hii!

Ndio maana Lisu baada ya kushindwa kwenye uchaguzi mwaka jana na kukimbilia ubalozi ili kupata justification ya kwenda ubelgiji alisema watz hawako tayari kwa mabadiriko.
 
Mngekuwa mnajitambua Mbowe asingekaa pale segerea kwa miezi 4 hii!

Ndio maana Lisu baada ya kushindwa kwenye uchaguzi mwaka jana na kukimbilia ubalozi ili kupata justification ya kwenda ubelgiji alisema watz hawako tayari kwa mabadiriko.
Ficha Ujinga,Wazazi wasiaibike.
 
Back
Top Bottom