Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,320
- 16,562
Sanaaa,wale washibe vizuri.😀😀 Hatarious
Sanaaa,wale washibe vizuri.😀😀 Hatarious
🤣Bro acha biti, hapo tandale waki kushika wana vunja hizo kende wazi kaange kama chapati 😁
Bro mbona kama wewe ndiyo nzee yusufu, maaana hizi taarab kabisa 😂 😂🤣
Kijana,mimi ndiye trainer bora wa Evander holyfield na Mike Tyson. . . Napiga vibaya mno..
Usiombee kukutana nami uwanja wa vita maana hapo kwa profile status yako melo ataweka RIP.
Tukutane field 29/10
MWamba the Icebreaker inakuaje mtu wangu wa nguvu?Itakua ni Helmet hiyo anayo iongelea.
😀😀
Wapi kipenzi chenu?MWamba the Icebreaker inakuaje mtu wangu wa nguvu?
Zinapatikana sokoni?
Nani tena huyo?Bro mbona kama wewe ndiyo nzee yusufu, maaana hizi taarab kabisa 😂 😂
Si weweNani tena huyo?
Ndugu. Mimi ni Demi na sio Demmis, pia nimeuliza kuhusu Element,kama ni helmet najua zinapopatikanaDemu kama demiss (Demi) anaulizia helmet inauzwa wapi. Halafu kengemaji moja inazuia maandamano na kusapoti usenge unaoendelea .... mamaaaaaaeeeeh watu wengine kichwani wana matope kabisa.
Nahisi ndo hizi wanazovaa bodaElement ndo nini? Na sie tukanunue
🤣 Utalogwa ufeHata sisi upande wa pili maandalizi tumefanya muda tu... Target yangu Mshana Jr barabarani nimtie virungu vingiiiiiiiiiiiiiiii.