Hii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani
Niliangalia ngojera za TBC saa mbili, nikaona Raisi wetu, mbona huyu mzee kazeeka ghafra, vipi, nyie mnae muona laivu kazeeka hivo au ndo picha za TBC mbovu yaani anavo onekana JK anakua kama kijana wake wakuzaaHii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani
View attachment 1600640
Ubongo wako umesinyaa, usimletee chp politics kila mtuVijana wasiojielewa wa Uvccm kama wewe bila shaka ndiyo uliomaanisha! Ila siyo wale wahitimu wa vyuo waliokosa ajira na wakati huo huo wakiendelea kulimbikiziwa riba kandamizi ya 6% kila mwaka na Bodi ya Mikopo.
Ikiwemo mm, lazma nimpe kura yangu JPM maana amefanya vitu ambavyo vinaonekana (tangible) na ana hubiri maendeleo zaidi siyo kama lissu ambae kila siku ana hubiri uhuru,haki na usawa kitu ambacho kina mipaka yake la lissu anataka kutudanganya kwamba hakina mipakaHii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani
View attachment 1600640
Huwezi kua na imani na mtu ambae hana huruma na watu wakeHii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani
View attachment 1600640
Unafikiri wahenga walikosea kuwaita nyinyi uvccm misukule? Hawakukosea. Niambie ni kijana gani mwenye akili timamu anayeweza kuishabikia CCM! Imemfanyia nini mpaka aishabikie, zaidi tu ya kumuumiza na kumuondolea ndoto zake.Ubongo wako umesinyaa, usimletee chp politics kila mtu
Huyo ni zezeta anawakilisha vijana!?Hii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani
View attachment 1600640
Well saidKiukweli JPM angekuwa kiongozi mahiri shida kubwa ccm imechangia mfumo dhaifu kwa checks and balance kumsaidia control madhaifu yake binafsi, Katiba bora!
Heri mzee mwenye akili ya kitoto kuliko kijana mwenye akili ya kizee.Hii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani
View attachment 1600640