sodeely
Senior Member
- Oct 3, 2011
- 187
- 117
Njia hii ndio iliyotusaidia sisi mwaka 2010 hapa Musoma.
Baada ya kumaliza kupiga kura,tulikaa mita 100,tukalinda kura zetu.
Hatukuogopa vitisho vya polisi wala usalama wa Kikwete.
Tukayabana mafisadi,hadi tukashinda kwa kishindo.
Vijana wa Arumeru nanyi fanyeni hivyo leo.
Baada ya kumaliza kupiga kura,tulikaa mita 100,tukalinda kura zetu.
Hatukuogopa vitisho vya polisi wala usalama wa Kikwete.
Tukayabana mafisadi,hadi tukashinda kwa kishindo.
Vijana wa Arumeru nanyi fanyeni hivyo leo.