kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,181
- 1,574
Hali zenu ndugu zangu!
Ni tabia mbaya na uraibu mbaya kubweteka na kuilaumu serikali kila siku kuwa haiajiri.
Mimi ni graduate ila niliamua kukataa kuajiriwa na kujikita kuanzisha miradi yangu kwa jasho na damu. Nilikataa i remember mshahara wa taslimu 450k TZS kwa mwezi.
Nimefungua biashara ya karanga nataraji kuanza week ijayo, nilikusanya 8k, ila nikaongezewa 250k na kampani yangu.
Tuache kulalamika.!
Ni tabia mbaya na uraibu mbaya kubweteka na kuilaumu serikali kila siku kuwa haiajiri.
Mimi ni graduate ila niliamua kukataa kuajiriwa na kujikita kuanzisha miradi yangu kwa jasho na damu. Nilikataa i remember mshahara wa taslimu 450k TZS kwa mwezi.
Nimefungua biashara ya karanga nataraji kuanza week ijayo, nilikusanya 8k, ila nikaongezewa 250k na kampani yangu.
Tuache kulalamika.!