Vijana ajira zipo tuache uvivu

Vijana ajira zipo tuache uvivu

Hali zenu ndugu zangu! Ni tabia mbaya na uraibu mbaya kubweteka na kuilaumu serikali kila siku kuwa haiajiri.

Mimi ni greduate ila niliamua kukataa kuajiriwa na kujikita kuanzisha miradi yangu kwa jasho na damu. Nilikataa i rebermber mshahara wa taslimu 450k TZS kwa mwezi.

Nimefungua biashara ya karanga nataraji kuanza week ijayo, nilikusanya 8k, ila nikaongezewa 250k na kampani yangu.

Tuache kulalamika.!
Kwa haka ka bsndiko,ndio ushahidi kuwa umeweza kujiajiri na ulikataa malipo ya 450K?
Hebu kuwa serious!!
 
Hali zenu ndugu zangu! Ni tabia mbaya na uraibu mbaya kubweteka na kuilaumu serikali kila siku kuwa haiajiri.

Mimi ni greduate ila niliamua kukataa kuajiriwa na kujikita kuanzisha miradi yangu kwa jasho na damu. Nilikataa i rebermber mshahara wa taslimu 450k TZS kwa mwezi.

Nimefungua biashara ya karanga nataraji kuanza week ijayo, nilikusanya 8k, ila nikaongezewa 250k na kampani yangu.

Tuache kulalamika.!
Hapa ndipo mnapofeli "greduetes" wa bongo unakataa ajira unajikita kwenye biashara ya kuuza karanga halafu unajiona bonge la mbunifu,wakati hizo karanga huko singida na dodoma zinalimwa na vijana hata darasa la saba hawajamaliza....ningekuona una akili na elimu imekusaidia kama ungekuja na wazo la kutengeneza bidhaa za mazao ya karanga.....umesoma halafu unafanya shughuli ambazo wenzako wasiosoma walishazifanya miaka miiingi iyopita halafu unakuja kutamba JF!! kwa kukusaidia mazao ya karanga ni mafuta,chakula lishe,dawa,chakula cha mifugo,vilainishi vya ngozi n.k
Ndio maana mzee Kishimba anasema wasomi wa siku hizi mmekua kama makuku ya kizungu!!
 
Dah vijana bana yote haya kwasababu umepata ka-upenyo?, Ukipata wape wenzako mbinu ulizotumia kupata huo mtaji!!. Usije na akili za motivation 🔊 wanaohasisha watu kulima nyanya huku yeye yupo kwenye full kiyoyozi Cha serikali.
 
Hali zenu ndugu zangu!

Ni tabia mbaya na uraibu mbaya kubweteka na kuilaumu serikali kila siku kuwa haiajiri.

Mimi ni graduate ila niliamua kukataa kuajiriwa na kujikita kuanzisha miradi yangu kwa jasho na damu. Nilikataa i remember mshahara wa taslimu 450k TZS kwa mwezi.

Nimefungua biashara ya karanga nataraji kuanza week ijayo, nilikusanya 8k, ila nikaongezewa 250k na kampani yangu.

Tuache kulalamika.!
Utarudi na ID mpya we Canis lupus familiaris
 
Biashara yenyewe hata kuanza bado ukianza na kupata faida si utatuita nguruwe wote humu jf.
Umenikumbusha Mgogo kama sikosei kwenye mahubiri yake kuna part anasema
Mtaji wenyew laki mbili unaharibu wanafunzi na kutembea na wake za watu siku ukishusha macontainer bandarini si watu watakoma.
 
Back
Top Bottom