Vijana ajira zipo tuache uvivu

Vijana ajira zipo tuache uvivu

Hali zenu ndugu zangu!

Ni tabia mbaya na uraibu mbaya kubweteka na kuilaumu serikali kila siku kuwa haiajiri.

Mimi ni graduate ila niliamua kukataa kuajiriwa na kujikita kuanzisha miradi yangu kwa jasho na damu. Nilikataa i remember mshahara wa taslimu 450k TZS kwa mwezi.

Nimefungua biashara ya karanga nataraji kuanza week ijayo, nilikusanya 8k, ila nikaongezewa 250k na kampani yangu.

Tuache kulalamika.!
mbona hatujamusoma sasa hapo umeandika makitu gani?

umesema ulikataa kujiajiri ukaamua kuuza karanga ukaanza na k8 kampuni yako ikakuongezea 250k

sijakusoma hapo graduate ebu tuelekeze vzr
 
Yaan biashara yenyewe unaanza wiki ijayo

Lakn kelele na dhihaka zenye bango kuubwa kwa vijana

Anyway mm nahtaj kibarua katika. Biashara yako hyo

"Mwenye busara hutengeneza njia au ajira kwa wengne na si vingnevyo"
 
Hivi ni graduand au graduate

Bongo bhana
Haya ni maneno mawili tofauti.Graduand ni mwanafunzi ambaye kakizi vigezo katika kozi aliyesomea lakini bado tu kutambuliwa rasmi(i.e before they are awarded certificates) wakati graduate ni mwanafunzi ambaye tayari anatambulika kuwa kasomea kitu fulani katika chuo husika na kapatiwa cheti cha kuhitimu
 
Back
Top Bottom