TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Ni wakati sasa wa vijana kuamka kutoka kwenye usingizi mzito ili waondokane na wingu zito vichwani mwao kuwa chadema ni chama cha ukombozi.
Vijana hongereni kwa maamuzi sahihi na ya kuigwa.
Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Vijana hao walisema wamefikia uamuzi huo baada ya Diwani wa Kata hiyo, Lucas Mwampiki (CHADEMA) kushindwa kukisaidiankikundi chao kama alivyoaihidi kwenye kampeni zake, licha ya kumfuata mara kadhaa kumuomba msaada na kumkumbusha juu ya ahadi yake.
wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.
Kwani nani alimwambia atoe ahadi za uongo..? Na nyie bila kutafakari wala kujitafakari mnamtetea huyo Diwani.Walitaka diwani awasaidie kuwapa hela..? ccm wanakumbuka Mwalimu alivyokuwa anahimiza kutokuwa kupe lakini..? Kwamba wananchi wajitegemee badala ya kutegemea..? Ingalikuwa mie niko ccm nisingejaribu kuposti uzi kama huu.. Huku ni kujidhalilisha kwisha kazi..
Una uhakika Diwani aliwaahidi pesa..? Unataka kusema waliopiga kura ni hao 69..? Mbona hatujawasikia wengine wakijitokeza kulalamika kwamba waliahidiwa pesa lakini hawatimiziwa ahadi zao..? Na kwanini hayo yatokee wakati mbele ya kiongozi wa ccm..?Kwani nani alimwambia atoe ahadi za uongo..? Na nyie bila kutafakari wala kujitafakari mnamtetea huyo Diwani.
Anza kuamka wewe mbululaNi wakati sasa wa vijana kuamka kutoka kwenye usingizi mzito ili waondokane na wingu zito vichwani mwao kuwa chadema ni chama cha ukombozi.
Vijana hongereni kwa maamuzi sahihi na ya kuigwa.
Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Vijana hao walisema wamefikia uamuzi huo baada ya Diwani wa Kata hiyo, Lucas Mwampiki (CHADEMA) kushindwa kukisaidiankikundi chao kama alivyoaihidi kwenye kampeni zake, licha ya kumfuata mara kadhaa kumuomba msaada na kumkumbusha juu ya ahadi yake.
wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.
Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Vijana hao walisema wamefikia uamuzi huo baada ya Diwani wa Kata hiyo, Lucas Mwampiki (CHADEMA) kushindwa kukisaidiankikundi chao kama alivyoaihidi kwenye kampeni zake, licha ya kumfuata mara kadhaa kumuomba msaada na kumkumbusha juu ya ahadi yake.
wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.
hakuna mwanachama mwenye akili wa chadema anaweza kuhamia ccm
hakuna mwanachama mwenye akili wa chadema anaweza kuhamia ccm