tryphone005
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 453
- 507
Dadadada da dah!R.I.P
Dadadada da dah!R.I.P
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haHuyu Mzee aache kujikanyaga sasa. Yaani ameamua kuanza kutafuta umaarufu kwa nguvu kupitia kifo cha mtoto wake???!!!!
Eti amekufa kama Nabii Isa......KUFURU hii. Amina si ndo huyo tunasikia alikuwa anarukaruka kama kindege tu .... anafananishwa vipi na manabii???!!!
Alikuwa na maajabu.... Maajabu ya kutangaza redio au ya kufanyaje??? Huyo mtoto hata shule alishindwa kusoma ...halafu leo alikuwa wa ajabu.
Huyo mzee anatakiwa kushauriwa. Kila mtu angependa kumuona mtoto wake wa ajabu. Lakini kama wewe unamuona wa ajabu uwe unashangaa uajabu wake ndani kwako. Unaita waandishi wa habari kutoa pumba
Eti kaburi la milion tatu linafanana na Amina.... ama kweli alikuwa mtoto wa ajabu !!! Kama alikuwa anafanana na kaburi ni ajabu na kweli. Mzee anatakiwa kushauriwa nini anaongea kwenye vyombo vya habari sio kukurupuka tu.
Mpaka njia ameshakufa zamanituwe macho na hizi fikra za ushrikina, zinalipeleka taifa mahali pabaya! fikra za ushirikina ndo chanzo cha mauaji ya wazee wetu vikonngwe huko shinyanga
kuhusisha kifo cha amina ambaye mnasema alikuwa kiruka njia(mimi sina uhakika) ni mwendelezo wa yale yale ya kutoamini kuwa mwenyezi MUngu, Bwana wa Majeshi, ndo mwamuzi wa uhai kutokuendelea.
Ripoti ya Kifo cha amina inaweze kupatikana wazi pale hospitalini alikokuwa amelazwa. ukiniambia ni nani aliharakisha kifo hiki ninaweza kusema kuwa ni huyu mzee, kwa kutompa nafasi mwanawe atoe mafundo yaliyokuwa moyoni
haya ya kujenga makaburi ya 3m nakadhalika ni kuchanganyikiwa,
hivy mumewe amina yule mtaka masifa sana, yuko wapi siku hizi? angekuja hapa ajibu.
Huyo mumewe Amina (Mpakanyia), MPAKANJIA unayemsema wewe yungalihai?mpaka uyasikie hayo uliyoyasikia? Usitie watu machungu.kwakuhangaika huyu bwana utamuweza?????
Amina hajazaliwa Lugalo, na zaidi ya hayo hakuzaliwa Dar es Salaam. Alizaliwa kijiji cha Lupembe au jina kama hilo huko Iringa. Na mimba yake kweli ilikuwa na mizengwe mizengwe.
Vua hiyo miwani ya mbao kwanza kisha msome tena kwa utaratibu mleta mada.Kasema nabii Issa sio Yesu.....tofauti kubwa
haya ndiyo mambo gani sasa... tulipopiga kelele mumpeleke hospitali nyie mkampeleka kupigiwa ramli!