MWANASHERIA
Member
- Aug 20, 2010
- 84
- 11
Habari za Kiinteligensia na za kuaminika zinasema viongozi wafuatao walienda mapema sana kwa Mch. Loliondo kunywa dawa,
1. JK na first lady, ndo maana siku hizi haanguki, alienda January,
2. Edward Lowasa.
3. Generali Mwamunyange
4. Bernard Membe
5. Magufuli
6. Mizengo Pinda,
Na wengine wengi tu.
SWALA kubwa hapa ni kwamba, hawa viongozi wote wametibiwa, na kuna waliotoa ushuhuda kuwa wamepona, sasa kwanini wizara ya afya inamkataza mch. asitoe huduma, wakati huduma yake inaponyesha kweli, hawa viongozi wakuu kwanini wasimsaidie mzee kurekebisha mazingira ya kufanyia kazi yake vizuri ili na wengine wapate huduma yake kama wao walivopata. Badala yake wizara ya afya imesimamisha huduma bila kujali kwamba wanawanyima watu wengine huduma ya kupona pia.
1. JK na first lady, ndo maana siku hizi haanguki, alienda January,
2. Edward Lowasa.
3. Generali Mwamunyange
4. Bernard Membe
5. Magufuli
6. Mizengo Pinda,
Na wengine wengi tu.
SWALA kubwa hapa ni kwamba, hawa viongozi wote wametibiwa, na kuna waliotoa ushuhuda kuwa wamepona, sasa kwanini wizara ya afya inamkataza mch. asitoe huduma, wakati huduma yake inaponyesha kweli, hawa viongozi wakuu kwanini wasimsaidie mzee kurekebisha mazingira ya kufanyia kazi yake vizuri ili na wengine wapate huduma yake kama wao walivopata. Badala yake wizara ya afya imesimamisha huduma bila kujali kwamba wanawanyima watu wengine huduma ya kupona pia.