Vigogo walioenda kunywa dawa kwa mchungaji loliondo

MWANASHERIA

Member
Aug 20, 2010
84
11
Habari za Kiinteligensia na za kuaminika zinasema viongozi wafuatao walienda mapema sana kwa Mch. Loliondo kunywa dawa,

1. JK na first lady, ndo maana siku hizi haanguki, alienda January,
2. Edward Lowasa.
3. Generali Mwamunyange
4. Bernard Membe
5. Magufuli
6. Mizengo Pinda,
Na wengine wengi tu.

SWALA kubwa hapa ni kwamba, hawa viongozi wote wametibiwa, na kuna waliotoa ushuhuda kuwa wamepona, sasa kwanini wizara ya afya inamkataza mch. asitoe huduma, wakati huduma yake inaponyesha kweli, hawa viongozi wakuu kwanini wasimsaidie mzee kurekebisha mazingira ya kufanyia kazi yake vizuri ili na wengine wapate huduma yake kama wao walivopata. Badala yake wizara ya afya imesimamisha huduma bila kujali kwamba wanawanyima watu wengine huduma ya kupona pia.
 
Mkuu wa mkoa wa arusha
askari wote wa ffu waliofika kumlinda majuzi
mh laizer
mh kandoro
na wengine wengi subiri server yangu iwe bomba ntarudi
 
Mpaka sasa watu walioungama kwamba wamekwenda kwa babu ni mkuu wa mkoa wa Mara na mwenyekiti wa mkoa wa Kilimanjaro......lakini sioni sababu ya kiongozi kwenda kwa babu na kufanya siri aseme tu...mbona maaskofu wamekiri kuwa dawa ya babu ina ponyesha....
 
Kuna Nesi.muuguzi wa Afya katoa ushuhuda leo asubuhi.Pia wako wafanyakazi wa serikali kadhaa wametoroka makazini kufuata dawa Loliondo.

Babu Mchungaji angesaidiwa kwa kuwekewa mazingira mazuri ili afidie pengo lililopo kwenye huduma za Afya nchini.
 
Habari za Kiinteligensia na za kuaminika zinasema viongozi wafuatao walienda mapema sana kwa Mch. Loliondo kunywa dawa,

1. JK na first lady, ndo maana siku hizi haanguki, alienda January,
2. Edward Lowasa.
3. Generali Mwamunyange
4. Bernard Membe
5. Magufuli
6. Mizengo Pinda,
Na wengine wengi tu.

SWALA kubwa hapa ni kwamba, hawa viongozi wote wametibiwa, na kuna waliotoa ushuhuda kuwa wamepona, sasa kwanini wizara ya afya inamkataza mch. asitoe huduma, wakati huduma yake inaponyesha kweli, hawa viongozi wakuu kwanini wasimsaidie mzee kurekebisha mazingira ya kufanyia kazi yake vizuri ili na wengine wapate huduma yake kama wao walivopata. Badala yake wizara ya afya imesimamisha huduma bila kujali kwamba wanawanyima watu wengine huduma ya kupona pia.

Kama kuna ukweli wowote juu la hili la viongozi kutibiwa tupe mafotos yao hapa.
 
Mkuu wa mkoa wa arusha
askari wote wa ffu waliofika kumlinda majuzi
mh laizer
mh kandoro
na wengine wengi subiri server yangu iwe bomba ntarudi

Boss wangu na familia yake
 
Kwani kwenda au kutokwenda ni kesi? wangapi wanatibiwa kwa waganga mbalimbali wa kienyeji? this thread realy suck
 
Huu ni utoto wa hali ya juu na kusema ukweli ni kushu sha hadhi ya hii forum. Let's put politics aside and respect other's privacy, period! Afterall, they have done the right thing.
 
wanakuja na mpya eti Mchungaji hapa kibali ( Cheti) cha kutibia, hiyo dawa si ya kisayansi ni ya kiimani hata kama mkipima hamtapata chochote, cha msingi mwekeni babu mazingira mazuri asaidie watu wapone.

Sasa hatukawii kusikia Siasa nayo inaingia - bongo hakuna dogo.
 
Huyu naye nilimuona

imagesCAGIJ2TY.jpg
 
mchungaji anatakiwa kusajili maombi, kazi itaendelea tu . . .
 
Hiyo yote ni ghiliba za Mafisadi wanataka kugawana na babu eti lazima ajiandikishe TRA kulipia kodi.

Mafisadi watatumaliza kama hatutochukuwa hatua ya haraka.
 
Kuna habari kwamba kuna meli ya wahindi na waarabu wanakuja kwa Babu kutibiwa, sasa si ingelikuwa ndia wakati mzuri kwa Waziri wa Utalii kumuwezesha Babu, kwani kutalii sio kuona wanyama pori tuu, masomo na matibabu is part of it.
 
Wote hao ni mafisadi tu ndio maana wanaona babu anapata umaarufu..
Hii nchi bana naenda research kutafuta mcawi wake
 
Kuna tetesi kwamba viongozi wetu wengi ni wagonjwa sugu. Kama hii issue inatakiwa iwe public wakati mwingine kwa sababu

1. wanatumia hela nyingi kujitibu hasa nje ya nchi wakati wananchi wanakosa hata panadol wanakosa

2. Hawana concetration na plans za kuiongoza nchi badala wanajilimbikiza ili aendelee kutumia hela kujitibu hence tunakosa maendeleo.
 
Kuna Nesi.muuguzi wa Afya katoa ushuhuda leo asubuhi.Pia wako wafanyakazi wa serikali kadhaa wametoroka makazini kufuata dawa Loliondo.

Babu Mchungaji angesaidiwa kwa kuwekewa mazingira mazuri ili afidie pengo lililopo kwenye huduma za Afya nchini.

Ana uwezo wa kuboresha mazingira kwa kuongeza tozo toka 500 hadi hata 10,000 kwani wengi wanatoa zaidi ya 500 kwa wajanja wachache
 
Hivi hata kama ni wewe; hospitali umeambiwa ugonjwa wako hauna dawa utafanyaje? Waache wajaribu dawa ya BABU hata kama haitafanya kazi!
 
Back
Top Bottom