na huyo mwenye bandar ya nch kavHukumsoma vizuri?
Si onesha kama alikuwepo wakati wanajiuzia. Halafu anasema hakuna sheria imekiukwa wenyeviti ni makatibu wakuu, kawaulizeni hao au watajeni ni akina nani.
Huwa sikisii.
imeuzwa nayoKwa hiyo kilichobaki ni kuuziana reli tu yenyewe mchezo uishe.!
malala kuna siku ulipost humu kwa hisia kwa nini ulizaliwa Tanzania? Inasikitisha sanaHili ni kati ya mashirika yaliyotafunwa hadi huruma !
Ndio walionunua hizo nyumba?Ccm ni hatari sana
Ndio walionunua hizo nyumba?