Las Mas Bobos
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 991
- 326
Hongera zitto,
Mtoa mada, wananchi kuhama toka CCM kwenda vyama vingine vya upinzani sio Breaking news, kwa kuwa CCM ilikuwapo kabla ya hivyo vyama, hivyo kwa muono wa kawaida baada ya mfumo wa vyama vingi ni lazima watoke watu toka CCM waingine vyama vingine.
Jikiteni katika kutafuta wanachama wapya, Kuna watu wengi sana TZ hawana vyama.
Ni hayo tu
Tume ya katiba
Chumbuni, Jamuhuri ya watu wa Zanzibar
Hawa wanaotoka CCM wakija CDM ni wapya, we UAMSHO vipi bana. Hao ambao hawana vyama nao wanakuja na wengine wanabakia kuwa wapenzi, upo hapo?