macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,237
- 56,881
MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda, anaweza kupoteza ubunge wakati wowote , Raia Mwema, limeelezwa.
Hiyo inatokana na chama chake, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kumtuhumu kwa kukihujumu na hivyo kupanga kumvua uanachama. Mbunge akikoma kuwa mwanachama wa chama kilichomsimamisha, anakoma kuwa mbunge...
More: Raia Mwema - Vigogo kumvua ubunge Shibuda
Hiyo inatokana na chama chake, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kumtuhumu kwa kukihujumu na hivyo kupanga kumvua uanachama. Mbunge akikoma kuwa mwanachama wa chama kilichomsimamisha, anakoma kuwa mbunge...
More: Raia Mwema - Vigogo kumvua ubunge Shibuda