kesi kitu cha kawaida hata slaa na mbowe pia wanakesi arusha.pia ni mpk mahakama ithibitishe kua ni wahalifu.acha kuleta jazba kama za kilaza wenu wasira hapa.gamba mkubwa we.
wacha kumfariji..... sema anafanya kwa kusikiliza umma umereact vp sio reasoning ya DR. MIHANJO a philosopher @udsm. hajawahi kuamua pasipo kuchukua maoni ya wadau. hawezi kufikiri mpaka tumsaidie
Wewe lebadudumizi, don't use masaburi to reason. These guys ARE innocent until proved guilty.
The guilty are in jail, unawajua akina Falijara? Hawa ni makada wazuri wa chama cha magamba.
kesi kitu cha kawaida hata slaa na mbowe pia wanakesi arusha.pia ni mpk mahakama ithibitishe kua ni wahalifu.acha kuleta jazba kama za kilaza wenu wasira hapa.gamba mkubwa we.
inabidi tubadilike na kufatilia kwa kina habari na sio kufata mkumbo kwa kuwa ni cdm basi hawawezi kuvunja sheria,penye ukweli basi tufate ukweli,,sio uccm na ucdm....
we have "big sots" High rank CCM cadres" ambao wamefilisi nchi hii kwa UFISADI na kuacha mamilioni ya watz hoi wakifa kwa kihoro! why are u not talking of big issues like these! This indicates how u are norrow minded! Discuss Issues and not people!
Mlesha leta zika dunda....watanzania wa leo siyo wajinga kiasi kwamba wana meza kila unacho walisha.....endeleeni kuwakampenia....poleni magamba company
inabidi tubadilike na kufatilia kwa kina habari na sio kufata mkumbo kwa kuwa ni cdm basi hawawezi kuvunja sheria,penye ukweli basi tufate ukweli,,sio uccm na ucdm....