Kitu kingine ambacho unaweza kufanya ni kutafuta frame na kuweka kama biashara yako ukaweka bites na soft drinks,fresh juice uku ukitoa tangazo lako kwenye mitandao ya kijamii,pambana uweze kufanya delivery maofisini maana watu wengine wanaenda kazini mapema na wanaitaji bites za kunywea chai.