Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,556
- 2,995
Habari zenu
Leo ni siku nyingine tunamshukuru Mungu kwa kuliona jua hadi sasa lakini pia kwa neema ya kuona mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa ndugu zangu waislamu lakini kwa wakristo nadhani bado mnaendelea kufunga.
Ndugu zangu kitaa kigumu sana,kazi zimekuwà ngumu kupatikana kwa sisi tuliosomaa na hakuna konekisheni wengi wetu, tumeamua kujiajiri kupitia biashara lakini bado changamoto ni kubwa mno.
Tunatembeza biashara ili kuleta urahisi wa kuuzika bidhaa pamoja na kujitangaza lakini kwa bahati mbaya madada na makaka tunaowauzia bidhaa wanatuonea na kutuchukulia tofauti.
1_Njaa kali
2_Wakuja
3_Malofa na wajinga
Unaweza kupeleka bidhaa na kuongea naye fresh dakika za mwisho"sina pesa", "unapunguzaje", "bei kubwa" n.k.
Nashauri
Ikiwa unataka kuanza kufanya biashara tafuta sehemu ya kufanya ili uipe heshima biashara yako huenda utapunguza zile panga za bei coz bidhaa hyo unayouza ukienda madukani bei imesimama hivo hivo ila kwa kuwa unatembeza inashuka thamani.
Wasalamu.
Leo ni siku nyingine tunamshukuru Mungu kwa kuliona jua hadi sasa lakini pia kwa neema ya kuona mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa ndugu zangu waislamu lakini kwa wakristo nadhani bado mnaendelea kufunga.
Ndugu zangu kitaa kigumu sana,kazi zimekuwà ngumu kupatikana kwa sisi tuliosomaa na hakuna konekisheni wengi wetu, tumeamua kujiajiri kupitia biashara lakini bado changamoto ni kubwa mno.
Tunatembeza biashara ili kuleta urahisi wa kuuzika bidhaa pamoja na kujitangaza lakini kwa bahati mbaya madada na makaka tunaowauzia bidhaa wanatuonea na kutuchukulia tofauti.
1_Njaa kali
2_Wakuja
3_Malofa na wajinga
Unaweza kupeleka bidhaa na kuongea naye fresh dakika za mwisho"sina pesa", "unapunguzaje", "bei kubwa" n.k.
Nashauri
Ikiwa unataka kuanza kufanya biashara tafuta sehemu ya kufanya ili uipe heshima biashara yako huenda utapunguza zile panga za bei coz bidhaa hyo unayouza ukienda madukani bei imesimama hivo hivo ila kwa kuwa unatembeza inashuka thamani.
Wasalamu.