Jamani hili ni ombi kwenu Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), NI KUHUSU SWALA LA KUJIUNGA NA JKT, SWALA LA KIGEZO CHA UMRI PALE NI TATIZO, MIAKA 18-23, WATANZANIA WANAOMALIZA DIGRII YA KWANZA UKIFATA UTARATIBU WA KUANZA SHULE UKIWA NA MIAKA 7 WENGI WANAMALIZA WAKIWA NA UMRI WA MIAKA 24(UKIHESABU NA MUDA WA KUSUBIRIA KWENDA LEVEL NYINGINE), JE WASOMI HAWAITAJIKI JESHINI? WENGINE WANGEPENDA KWENDA JWTZ ILA LAZIMA UPITIE JKT LAKINI UMRI NI TATIZO, KAMA NI SWALA LA CHEO NA KUKOSA UZALENDO BASI IFANYIKE KAMA POLISI WANAVYOFANYA UNAKAA BILA CHEO LAKINI UNALIPWA MSHAHARA KULINGANA NA ELIMU YAKO, UPATIKANAJI WA CHEO UWE KWA PENDEKEZO. JAMANI HUU NI USHAURI TU NA MAONI YANGU KAMA MTANZANIA.
Masharti ya kijana wa kujitolea kwa ajili ya kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa
1.Awe raia wa Tanzania
2.Awe na Umri kati ya miaka 18-23
3.Awe amemaliza darasa la saba na kuendelea
4.Asiwe ameoa au kuolewa na asiwe na mtu yeyote anayemtegemea
5.Awe tayari kufuata sheria zote za kijeshi zitazokuwa juu yake wakati akiwa jeshini(kutoroka,wizi,ulevi,uvutaji bangi, madawa ya kulevya na upatikanaji wa mimba n.k) Jeshini ni makosa makubwa na utaweza kushtakiwa na kufutiwa mkataba na JKT
6.Awe tayari kurudi nyumbani baada ya kumaliza mkataba wake na Jeshi la Kujenga Taifa
7.Awe na tabia na mwenendo mzuri.
Masharti ya kijana wa kujitolea kwa ajili ya kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa
1.Awe raia wa Tanzania
2.Awe na Umri kati ya miaka 18-23
3.Awe amemaliza darasa la saba na kuendelea
4.Asiwe ameoa au kuolewa na asiwe na mtu yeyote anayemtegemea
5.Awe tayari kufuata sheria zote za kijeshi zitazokuwa juu yake wakati akiwa jeshini(kutoroka,wizi,ulevi,uvutaji bangi, madawa ya kulevya na upatikanaji wa mimba n.k) Jeshini ni makosa makubwa na utaweza kushtakiwa na kufutiwa mkataba na JKT
6.Awe tayari kurudi nyumbani baada ya kumaliza mkataba wake na Jeshi la Kujenga Taifa
7.Awe na tabia na mwenendo mzuri.