kijumbamshale
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 267
- 88
Providers ndio wanaunganishwa na mkonga wewe unachukua kwao...
![]()
hii speed yangu sasa hv nime snip
Samahani Chief,
Hivi nikitaka ku-connect nyumba yangu na mkonga wa taifa natumia vigezo gani kuomba?
Au wale simba net au raha net nikitaka kuwavuta nyumbani kwangu waniwekee gharama zinaweza kuwaje?
kaka sina uhakika na hili jambo, ila bei zao ni balaa hazijafkia stage ya mtu wa kawaida kuzimudu, wanakuja kuleta leta matangazo yao humu bei za around 300,000 kwa mwezi speed ya kobe.
cheki hii thread
https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/256252-get-internet-connection-at-cats-net.html usd 500 kwa mwaka
Tigo kwa dsm wapo,vzuri downloading speed kwa simu inafika hadi 9mbs nikifanya tethering inaenda hadi 5mbs
upo eneo gani hilo mpaka una generalize hivo?
Tigo nimewafata mpaka masaki wanako dai wana DC-HSPA+(42Mbps) nikiwa na modem ya uwezo huo ila nilikua sizidi 300KB/sec kwa bundle la kulipia
Ulitaka ukawapige Njunwa......labda line yako haijawa configured kutumia 4G maana ndio iko masaki na mlimani city
Kuna jamaa hapo ameiongelea TTCL walivyo poa. Nitaenda kuwauliza kama wanaweza kuniunga. Mara mia nikalipa 110,000 kwa mwezi nikatumia na familia nzima kuliko kujiunga bundles na ikasumbua.
![]()
hii speed yangu sasa hv nime snip
we jamaa unaishi maeneo gan..??Tigo kwa dsm wapo,vzuri downloading speed kwa simu inafika hadi 9mbs nikifanya tethering inaenda hadi 5mbs
we jamaa unaishi maeneo gan..??
mana hiyo speed kwa tigo ni maajabu
kama upo Dar labda haujui kufanya selection
Airtel
Zantel
Vodacom wote hawa wanaweza ku meet demands zako
Recommended uwe na Router walau ya 21Mbps mpaka 42Mbps kwa 3G
Unaweza kulipa hiyo 1.1k lakini speed ukapewa 1-2Mbps
da wakuu mi mwenyewe leo nimeona maajabu ya tigo nipo shinyanga mjini natumia modem ya airtel mf190 cracked speed ya download inafika 6Mbps ndio mara yangu ya pili leo kutumia laini ya tigo japo mara ya kwanza ilinizingua nikaiacha ilikuwa inatembelea 215 - 341Mbps ilikuwa mwaka jana mwezi wa 7 ila leo nimewaona wame fix maana hapa uwa natumia voda 3 - 4Mbps Na airtel 1 - 3Mbps
Jamani sisi huku kwetu Njinjo Kilwa tigo ikijitahidi sana inafika 7kbps ila mara nyingi ni 2kbps,
Yaani unadownload file la 10 mbs kwa zaidi ya masaa mawili.
Sijui nifanyeje ushauri plz
huwenda hakuna 3g. tafuta simu yenye 3g halafu eka 3g only then nenda network search halafu tafuta network, ukipata mtandao hata mmoja ujue huo ndio una 3g then tumia huo.
leo wakati najiunga kifurushi tigo nikaona menu mpya ya vifurushi vya whatsapp
1000 kwa wiki
2000 kwa mwezi
kwa ambao wanavitumia ni unlimited? unaweza kudownload picha na video au ni kuchat tu?
Hii menu unaipataje? Mbona sijaiona?