Vifurushi vya whatsapp tigo

Vifurushi vya whatsapp tigo

Aisee jamaa wanazidi kubuni tu.............ngoja tuone.
 
Duh!!!

Wabongo mnabanwa kila kona aisee...

Nchi zilizoendelea ni aghalabu sana kukutana na huduma za namna hii...

Dunia ya sasa si ya kubaniana data...
 
Duh!!!

Wabongo mnabanwa kila kona aisee...

Nchi zilizoendelea ni aghalabu sana kukutana na huduma za namna hii...

Dunia ya sasa si ya kubaniana data...

sisi tunamiss tu mbadala wa mobile data, ila kwa mobile data tupo juu. nchi gani unaijua wewe ina vifurushi vya internet bei rahisi kuliko tanzania? mi nimetafuta sana na najichanganya na watu wa nchi mbalimbali ila sijaona.
 
Gharama ni juu kidogo ukilinganisha na TZ lakini huduma ni bora...

Kwa baadhi ya nchi ninazofahamu huduma zake, gharama pekee unayolipia huwa ni data na ni monthly unlimited..text na voice ni bure...

Halafu ngoja nikuulize kitu kimoja...ni mtandao gani wenye kutoa bandwidth kubwa ya data kati ya mitandao yote TZ (usiwaguse Smile)...

Na maximum speed huwa ni kiasi gani?

sisi tunamiss tu mbadala wa mobile data, ila kwa mobile data tupo juu. nchi gani unaijua wewe ina vifurushi vya internet bei rahisi kuliko tanzania? mi nimetafuta sana na najichanganya na watu wa nchi mbalimbali ila sijaona.
 
Gharama ni juu kidogo ukilinganisha na TZ lakini huduma ni bora...

Kwa baadhi ya nchi ninazofahamu huduma zake, gharama pekee unayolipia huwa ni data na ni monthly unlimited..text na voice ni bure...

Halafu ngoja nikuulize kitu kimoja...ni mtandao gani wenye kutoa bandwidth kubwa ya data kati ya mitandao yote TZ (usiwaguse Smile)...

Na maximum speed huwa ni kiasi gani?

mi naishi mikoani average tigo napata 8 hadi 10mbps, max kabisa usiku sana napata hadi 12-14mbps.

watu wa dar wanapata hadi 16mbps kwa airtel na baadhi tigo, ila maeneo yenye msongamano wa watu kama ubungo, kkoo si rahisi kuipata hio speed mchana.
 
1r00vEu.png

hii speed yangu sasa hv nime snip
 
Angalau hii habari nzuri...

Kwa mwendokasi huu unaweza kufanya streaming isiyokwama kwama kwa mtu ambaye anatumia huduma za iptv...

mi naishi mikoani average tigo napata 8 hadi 10mbps, max kabisa usiku sana napata hadi 12-14mbps.

watu wa dar wanapata hadi 16mbps kwa airtel na baadhi tigo, ila maeneo yenye msongamano wa watu kama ubungo, kkoo si rahisi kuipata hio speed mchana.
 
Angalau hii habari nzuri...

Kwa mwendokasi huu unaweza kufanya streaming isiyokwama kwama kwa mtu ambaye anatumia huduma za iptv...

Labda iptv inayochelewa na kufanya buffering, ila ya real time mobile data zinazingua latency ni ndogo
 
Havina limit ya download na upload lakini Tigo si unawajua shida yao wanaweza leo wakawa free kesho ukasikia sio free tena kama wanavyobadili vifurushi ukikiona leo keshokutwa ukikitafuta hakipo au kimebadilishwa.
 
sisi tunamiss tu mbadala wa mobile data, ila kwa mobile data tupo juu. nchi gani unaijua wewe ina vifurushi vya internet bei rahisi kuliko tanzania? mi nimetafuta sana na najichanganya na watu wa nchi mbalimbali ila sijaona.

Sure mkuu, chukulia mfano T-mobile ya Marekani.. data bundle ya LTE na 3G zina bei tofauti kabisa... Kwa miezi sita mtu analipa $50 (Shillingi laki moja) kwenye plan hiyo anapata 1GB ya LTE data na unlimited talk and texts..
Plan/Bundle kubwa mteja wa T Mobile analipa $80 (Shilingi laki mona na sitini) ndipo anapata Ulimited LTE data kwa mwezi tu.. ijapokuwa unaweza renew bundle yako kwa kulipia mwezi unaofuata..

Hizi bei ni kama za wale Smile 4G hazikamatiki ata kwa matumizi ya kiofisi..

Tumia Bundle lako vizuri.. Tanzania tatizo speed ya Internet tu, bei ni chee sana..
 
hapana.. Mi nipo Temeke kata 14 hapa maeneo ya usalama nikiwa nadownload movie tubemate huku nikiwa na kifurushi cha unlimited

mimi nilitest kitunda kwa modem ya 7.2mbps nilikuwa naimax voda hadi 7mbps ina maana ningekua na kifaa cha zaidi ya hapo ingezidi zaidi. ila huku kwetu voda si nzuri sana, airtel na tigo wapo vizuri
 
sisi tunamiss tu mbadala wa mobile data, ila kwa mobile data tupo juu. nchi gani unaijua wewe ina vifurushi vya internet bei rahisi kuliko tanzania? mi nimetafuta sana na najichanganya na watu wa nchi mbalimbali ila sijaona.

Samahani Chief,

Hivi nikitaka ku-connect nyumba yangu na mkonga wa taifa natumia vigezo gani kuomba?

Au wale simba net au raha net nikitaka kuwavuta nyumbani kwangu waniwekee gharama zinaweza kuwaje?
 
Back
Top Bottom