Njaramatata
Member
- Aug 6, 2020
- 44
- 66
Habari za week end/valentine,
Nina Rai ifuatayo ambayo inaweza kuwa ni muarobaini was gharama za vifurushi vya simu. Serikali kupitia TCRA iwe na utaratibu kama unaofanywa na EWURA wa kutopandisha gharama bila kujadiliana na wadau lakini pia kuwe na bei elekezi.
TCRA iwe regulator kwa mtumiani pia, ilivyo ni kuwa hakuna udhibiti makampuni wanafanya watakavyo at the expenses ya sisi walaji it's unfair.
Serikali iliangalie Hili atumiaji hawana mtetezi isingekuwepo social media platforms sauti yetu isingesikika.
Nawasilisha.
Nina Rai ifuatayo ambayo inaweza kuwa ni muarobaini was gharama za vifurushi vya simu. Serikali kupitia TCRA iwe na utaratibu kama unaofanywa na EWURA wa kutopandisha gharama bila kujadiliana na wadau lakini pia kuwe na bei elekezi.
TCRA iwe regulator kwa mtumiani pia, ilivyo ni kuwa hakuna udhibiti makampuni wanafanya watakavyo at the expenses ya sisi walaji it's unfair.
Serikali iliangalie Hili atumiaji hawana mtetezi isingekuwepo social media platforms sauti yetu isingesikika.
Nawasilisha.