Duh....
Tanzania limegeuka kuwa Taifa la marufuku.
Siasa marufuku, upinzani ni marufuku, Mifuko marufuku, vifungashio marufuku, tuisheni marufuku, kuuliza Manunu Yuko wapi marufuku, kuhoji ni marufuku, kudai katiba mpya ni marufuku, kukosoa ni marufuku, kujitetea ni marufuku, kujihami ni marufuku.
Yaani ni mwendo wa.marufuku tu.