Itscharlie
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,794
- 15,763
Nelli Tembe alikuwa Mchumba wa AKA, alifariki August 2021. Kabla ya kifo chake alikuwa Hotelini na AKA. INADAIWA ALIKUFA BAADA YA KUJIRUSHA CHINI KUTOKA GHOROFANI.
Baba wa Nelli Tembe Ni mtu mwenye pesa, inadaiwa anaishi Durban (Jiji ambalo AKA ameuawa jana), Baada ya Kifo cha...
Mwanae wa kike, baba Huyo alikana kabisa kwamba mtoto wake hawezi kujiua kama wengi wanavyodai kwamba alijitupa Ghorofani, aliamini kuna mtu amehusika. PICHA LIKAANZIA HAPA.
Kwa maana hiyo Baba wa Nelli Tembe alikuwa anahisi AKA alimuua huyo binti either kwa Bahati mbaya au kukusudia, hivyo ili kufuta ushahidi akamtupa chini.
By the way hata kama hakumtupa, lakini Demu alijitupa kwa sababu ya Stress za Mapenzi dhidi ya AKA maana Usiku aligombana na AKA then asubuhi inasemekana akajitupa Chini. Kiukweli mpaka leo hii hakuna mwenye Jibu la uhakika......
kwamba Mchumba wa AKA alifariki vipi, Wengi wanamtuhumu AKA wengine pia wanadai Mwanamke alijiua Mwenyewe. UKWELI ANAUJUA AKA.
Hatimae Jana Usiku AKA AMEUAWA kwa kupigwa Risasi sita. JE, HAMUONI KAMA MAUAJI YAKE YANA CONNECTION NA KIFO CHA MCHUMBA WAKE KILICHOTOKEA MWAKA MMOJA.
NA NUSU NYUMA?
HUENDA WALIPANGA KUMUUA SOON AFTER HIS GIRLFRIEND'S DEATH, ILA WAKAONA WATASHITUKIWA, HIVYO WAKASUBIRI WATU WASAHAU KIDOGO.
From twitter.
Baba wa Nelli Tembe Ni mtu mwenye pesa, inadaiwa anaishi Durban (Jiji ambalo AKA ameuawa jana), Baada ya Kifo cha...
Mwanae wa kike, baba Huyo alikana kabisa kwamba mtoto wake hawezi kujiua kama wengi wanavyodai kwamba alijitupa Ghorofani, aliamini kuna mtu amehusika. PICHA LIKAANZIA HAPA.
Kwa maana hiyo Baba wa Nelli Tembe alikuwa anahisi AKA alimuua huyo binti either kwa Bahati mbaya au kukusudia, hivyo ili kufuta ushahidi akamtupa chini.
By the way hata kama hakumtupa, lakini Demu alijitupa kwa sababu ya Stress za Mapenzi dhidi ya AKA maana Usiku aligombana na AKA then asubuhi inasemekana akajitupa Chini. Kiukweli mpaka leo hii hakuna mwenye Jibu la uhakika......
kwamba Mchumba wa AKA alifariki vipi, Wengi wanamtuhumu AKA wengine pia wanadai Mwanamke alijiua Mwenyewe. UKWELI ANAUJUA AKA.
Hatimae Jana Usiku AKA AMEUAWA kwa kupigwa Risasi sita. JE, HAMUONI KAMA MAUAJI YAKE YANA CONNECTION NA KIFO CHA MCHUMBA WAKE KILICHOTOKEA MWAKA MMOJA.
NA NUSU NYUMA?
HUENDA WALIPANGA KUMUUA SOON AFTER HIS GIRLFRIEND'S DEATH, ILA WAKAONA WATASHITUKIWA, HIVYO WAKASUBIRI WATU WASAHAU KIDOGO.
From twitter.