T tryphone Member Feb 5, 2010 8 3 Nov 28, 2011 #21 kwa kuwa hakuna mazingira yoyote yaliyoonyesha kuwa kuna aliyesababisha,basi tuamini ni natural death
kwa kuwa hakuna mazingira yoyote yaliyoonyesha kuwa kuna aliyesababisha,basi tuamini ni natural death
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,427 154,271 Nov 28, 2011 #22 UDOM kuna majini yananyonya damu wanetu
E Ernest Da Vinci Senior Member Dec 5, 2011 115 28 Dec 6, 2011 #23 Buji buji acha imani zisizo na relevancy to fact in issue,majini ndo nini?Je umewah kumwona mtu aliyeuwawa na majini?Sasa haya unayatoa wapi?
Buji buji acha imani zisizo na relevancy to fact in issue,majini ndo nini?Je umewah kumwona mtu aliyeuwawa na majini?Sasa haya unayatoa wapi?
tatanyengo JF-Expert Member Mar 30, 2011 1,134 280 Dec 6, 2011 #24 Poleni kwa misiba. Imetokea tu co-incidence matukio mawili yakafuatana kwa karibu. Tuwaombee wailoatangulia mbele ya haki.
Poleni kwa misiba. Imetokea tu co-incidence matukio mawili yakafuatana kwa karibu. Tuwaombee wailoatangulia mbele ya haki.
Shagiguku JF-Expert Member Jan 9, 2010 407 133 Dec 8, 2011 #25 poleni sana udomu tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu cha kuwapoteza wasomi hao wa tanzania...!!!!
poleni sana udomu tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu cha kuwapoteza wasomi hao wa tanzania...!!!!