Vifaranga vya kuku 6,400 vyateketezwa kwa moto baada ya kukamatwa vikiingizwa nchini kinyume na sheria kutoka Kenya

Unaita watu humu wapuuzi au wewe ndiyo mpuuzi, uliona wapi kuna nyama ya kifaranga cha kuku, acha hizo kujifanya mjuaji kumbe huna kitu kichwani
Kweli kabisa hakuna nyama ya kifaranga. Nadhani kama wangekuwa ni kuku wakubwa sidhani kama wangefanya hivyo wangejigawia wenyewe wakashibishe matumbo yao na familia zao
 
lack of compassion for animals and the planet, killing of animals like that is not something to be acceptable in anyway...

kila siku tunalalamika matatizo kumbe tunayatengeneza wenyewe, We cant be serious, 6000 living beings dying on fire surely their soul will hunt us forever...and the same people you will find them in worship house praying for GOD,
Really painful,

Vegan


Kama ni rahisi kutoa uhai kwa kiumbe innocent kama kile kuna mambo mengi ikiwemo, huyu mtu hana akili timamu, nikichaa japo haja vaa chupi kichwani, ana laana napia hata kukatisha uhai wa viumbe vikubwa zaidi ikiwemo mwanadamu ni rahisi. Ngoja niulize, hivi huko dar nadhani mnashida sana maana hata mbwa huwa wanapigwa mawe hadi kifo bila sababu, it all starts with you,me and all of us. Mbona Arusha sijawai kuona mbwa kapigwa mawe hadi kufa kama huko! Kwa hili pia, tusione jambo la ajabu wakati miongoni mwetu kuna wale wasiojulikana hata kwa viumbe vingine kama hao kuku kuuwa ni kitu simpo tu. LEMA ALISEMA HII LAANA ITASAMBAAA NA HUU NDO MWANZO STAY TUNNED< ALAFU WATZ TUACHE USHABIKI WAKIJINGA!
 
Unajua kuna kipindi wakenya hawa waliteketeza magari ya mizigo yote yaliyokutwa yanaendeshwa na madereva wa kitanzania bila kujali ni nini kimo ndani ya gari hilo kama mzigo baada ya kushusha abiria kwenye magari hayo!!!
====
Siungi mkono utaratibu uliotumika kumuadhibu mleta vifaranga. Vinginevyo yatolewe maelezo ya kutosha
Wamewateketeza wakiwa hai?? Hapana aiseee, huu ni unyama uliopitiliza
 
Kama tumeweza kuchoma Moto vifaranga vilivyopita kwa njia halamu. Vp kuhusu Binadamu/Wakimbizi wanaopita njia Haramu kama hao vifaranga. Tutaweza kuwachoma Moto pia...........? Tears Drop My condolence
 
Aliyeamuru vifaranga vichomwe basi ana akili ndogo kuliko vifaranga vya kuku....kweli wahenga walisema kama elimu ni ghali basi jaribu ujinga
 
a71539407cc1cb8c7823f3fc7d05d973.jpg
d5c3065e8e7d773a5acb54baf7a963d7.jpg


Wizara ya Mifugo kwa kushirikiana na vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoani Arusha, imeteketeza kwa moto vifaranga vya kuku wa kisasa 6,400 wenye thamani ya shilingi milioni 12, wanaodaiwa kuingizwa nchini kutoka Kenya kupitia mpaka wa Namanga kinyume na sheria. Vifaranga vilivyoingizwa nchini kinyemela kuteketezwa

My take
Hizi si akili za kawaida hakika, na huenda nchi hii hupata laana kutokana na baadhi ya viongozi kama hawa. Unachoma kifaranga kwa maana gani? Hii siyo haki kabisa na ni ukatili kwa kiumbe hai kisichokuwa na hatia wala utambuzi.
Sisi wenye maono inaonyesha kwamba nchi imevamiwa na mapepo; maombii na kufunga vinahitajika sana maana mapepo chakula chao ni damu za watu na hata hivi viumbe hài. Mapepo hayana huruma yanapenda kuangamiza tu.
 
Back
Top Bottom