Unaweza kuniona kama unaitaji mbao na mirunda kwa bei poa. Ninazo mbao za 1x8=3500, 2x4=2800 na mirunda kwa tsh 1000. wasiliana na mimi kwenye kimandolu@hotmail.com. Nipo Mbezi Tanki Bovu. Mbao hizi zitakusaidia sana kwenye gorofa lako kwani gorofa linaitaji mbao nyingi sana.